< I Oihanaalii 6 >

1 EIA na keikikane a Levi; o Geresoma, o Kohata, a o Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 O na keikikane a Kohata; o Amerama, o Izehara, o Heberona, a o Uziela.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 A o na keiki a Amerama; o Aarona, o Mose, a o Miriama. O na keikikane hoi a Aarona; o Nadaba, o Abihu, o Eleazara, a o Itamara.
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Na Eleazara o Pinehasa, na Pinehasa o Abisua,
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 Na Abisua o Buki, na Buki o Uzi,
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 Na Uzi o Zerahia, na Zerahia o Meraiota,
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Na Meraiota o Amaria, na Amaria o Ahituha,
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 Na Ahituba o Zadoka, na Zadoka o Ahimaaza,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 Na Ahimaaza o Azaria, na Azaria o Iohanana,
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 Na Iohanana o Azaria, (ka mea ia ia ka oihana kahuna ma ka luakini a Solomona i hana'i i Ierusalema; )
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 Na Azaria o Amaria, na Amaria o Ahituba,
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 Na Ahituba o Zadoka, na Zadoka o Saluma,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 Na Saluma o Hilekia, na Hilekia o Azaria,
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 Na Azaria o Seraia, na Seraia o Iehozadaka.
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 A hele aku la o Iehozadaka, i ka wa a Iehova i lawe pio aku ai i ka Iuda, a me ko Ierusalema ma ka lima o Nebukaneza.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 Eia na keikikane a Levi; o Geresoma, o Kohata, a o Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 Eia na inoa o na keiki o Geresoma; o Libeni a o Simei.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 A o na keikikane a Kohata, o Amerama, o Izihara, o Heberona, a o Uziela.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 O na keikikane a Merari; o Meheli, a o Musi O lakou na ohana a ka poe Levi, mamuli o ko lakou mau kupuna.
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 Na Geresoma; o Libeni kana keiki, o Iahata kana keiki, o Zima kana keiki,
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 O Ioa kana keiki, o Ido kana keiki, o Zera kana keiki, o Ieaterai kana keiki.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 O na keikikane a Kohata; o Aminadaba kana keiki, o Kora kana keiki, o Asira kana keiki,
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 O Elekana kana keiki, o Ebiasapa kana keiki, o Asira kana keiki,
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 O Tahata kana keiki, o Uriela kana keiki, o Uzia kana keiki, o Saula kana keiki.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 A o na keikikane a Elekana, o Amasai, a o Ahimota;
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 O laua ka Elekana: o na keikikane a Elekana; o Zopai kana keiki, o Nahata kana keiki,
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 O Eliaba kana keiki, o Ierohama kana keiki, o Elekana kana keiki.
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 O na keikikane a Samuela; o Vaseni ka makahiapo, a o Abia.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 O na keiki a Merari; o Maheli, o Libeni kana keiki, o Simei kana keiki, o Uza kana keiki,
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 O Simea kana keiki, o Hagia kana keiki, a o Asaia kana keiki.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 O lakou ka poe a Davida i hoonoho ai maluna o ka oihana hoolea ma ka hale o Iehova, mahope mai o ka manawa i kau malie ai ka pahuberita.
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 A hookauwa aku la lakou imua o kahi i ku ai ka halelewa anaina, me ka hoolea ana, a hiki i ka manawa a Solomona i hana'i ka hale o Iehova i Ierusalema: alaila ku iho la lakou i ka lakou oihana ma ko lakou mau papa.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 Eia ka poe nana i ku me ka lakou poe keiki. O na keiki a ka Kohata; o Hemana he mea hoolea, ke keiki a Ioela, ke keiki a Samuela,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 Ke keiki a Elekana, ke keiki a Iehorama, ke keiki a Eliela, ke keiki a Toa.
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 Ke keiki a Zupa, ke keiki a Elekana, ke keiki a Mahata, ke keiki a Amasai,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 Ke keiki a Elekana, ke keiki a Ioela, ke keiki a Azaria, ke keiki a Zepania,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 Ke keiki a Tahata, ke keiki a Asira, ke keiki a Ebiasapa, ke keiki a Kora,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 Ke keiki a Izahara, ke keiki a Kohata, ke keiki a Levi, ke keiki a Iseraela.
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 A o kona hoahanau o Asapa, ka mea i ku ma kona lima akau, o Asapa ke keiki a Berakia, ke keiki a Simea,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 Ke keiki a Mikaela, ke keiki a Baaseia, ke keiki a Malekia,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 Ke keiki a Eteni, ke keiki a Zera, ke keiki a Adaia,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 Ke keiki a Etana, ke keiki a Zima, ke keiki a Simei,
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 Ke keiki a Iahata, ke keiki a Geresoma, ke keiki a Levi.
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 A ma ka lima hema ko lakou poe hoahanau, na mamo a Merari. O Etana ke keiki a Kisi, ke keiki a Abedia, ke keiki a Maluka,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 Ke keiki a Hasabia, ke keiki a Amazia, ke keiki a Hilekia,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 Ke keiki a Amezi, ke keiki a Bani, ke keiki a Samera,
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 Ke keiki a Maheli, ke keiki a Musi, ke keiki a Merari, ke keiki a Levi.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 Ua hoonohoia hoi ko lakou poe hoahanau o ka Levi i kela hana keia hana a pau o ka halelewa, ka hale o ke Akua.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 Aka, o Aarona a me kana mau keiki, mohai aku la lakou mala na o ke kuahu no ka mohaikuni, a maluna o ke kuahu no ka mea ala, a no ka hana a pau o ke keena kapu, a e mohai kalahala no ka Iseraela, e like me na mea a pau a Mose ke kauwa na ke Akua i kauoha ai.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 Aia na keikikane a Aarona; o Eleazara kana keiki, o Pinehasa kana keiki, o Abisua kana keiki,
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 O Buki kana keiki, o Uzi kana keiki, o Zerahia kana keiki,
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 O Meraiota kana keiki, o Amaria kana keiki, o Ahituba kana keiki,
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 O Zadoka kana keiki, o Ahimaaza kana keiki
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 Eia ko lakou mau wahi noho, ma ko lakou mau halelewa, iloko o ko lakou mau aina, ko na mamo a Aarona, ko na ohana a Kohata; no ka mea, no lakou ka haawina.
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 A haawi aku la lakou ia Heberona no lakou, ma ka aina o ka Iuda, a me na kula o ia wahi a puni.
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 Aka, o na aina mahiai o ke kulanakauhale, a me na kauhale ilaila, haawi aku la lakou ia mau mea no Kaleba ke keiki a Iepune.
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 A haawi aku la lakou i na kulanakauhale o ka Iuda no na mamo a Aarona, o Heberona ka puuhonua, o Libena me na kula ilaila, o Iatira, a o Esetemoa me ko lakou mau kula,
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
58 O Hilena me kona kula, o Debira a me kona kula,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 O Asana a me kona kula, a o Betesemesa a me kona kula:
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 A ma ko ka ohana a Beniamina; o Geba me kona kula o Alemeta me kona kula, a o Anatota me kona kula. O na kulanakauhale a pau ma ko lakou mau ohana he umikumamakolu na kulanakauhale.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 No na mamo a Kohata i koe o ka ohana ma ia lahuikanaka, i kaa no lakou he umi mau kulanakauhale o ka ohana hapa, oia ka ohana hapa a Manase.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 A no ka poe mamo a Geresoma, ma ka lakou mau ohana, he umikumamakolu na kulanakauhale o ka ohana a Isekara, a o ka ohana a Asera, a o ka ohana a Napetali, a o ka ohana a Manase i Basana.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 A kaa aku no na mamo a Merari, ma ka lakou mau ohana, he umikumamalua na kulanakauhale o ka ohana a Reubena, a o ka ohana a Gada, a o ka ohana a Zebuluna.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 Na ka poe mamo a Iseraela i haawi aku no ka Levi ia mau kulanakauhale a me ko lakou mau kula.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 A haawi aku la lakou ma ka puu ana ia mau kulanakauhale i kapaia ma na inoa, noloko o ka ohana o na mamo a Iuda, a noloko o ka ohana o na mamo a Simeona, a noloko o ka ohana o na mamo a Beniamina.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 A i kekahi mau ohana o na mamo a Kohata, ia lakou na kulanakauhale o na mokuna o lakou ma ko ka ohana a Eperaima.
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 A haawi aku la lakou i na kulanakauhale puuhonua, o Sekema ma ka mauna Eperaima me kona kula, a o Gezera hoi me kona kula,
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
68 A o Iokemeama me kona kula, a o Betehorona me kona kula,
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 A o Aialona me kona kula, a o Gatarimona me kona kula:
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 A noloko o ka ohana hapa a Manase; o Anera me kona kula, a o Ibeleama me kona kula no ke koena o ka ohana mamo a Kohata.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 A no na mamo a Geresoma, o Golana i Basana me kona kula, a o Asetarota me kona kula, noloko o ko ka ohana hapa a Manase:
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 A noloko o ko ka ohana o Isekara; o Kedesa me kona kula, o Daberata me kona kula,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 O Ramota me kona kula, a o Anema me kona kula:
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 A noloko o ko ka ohana a Asera; o Masala me kona kula, a o Abedona me kona kula,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 O Hukoka me kona kula, a o Rehoba me kona kula.
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 A noloko o ko ka ohana a Napetali: o Kedesa i Galilaia me kona kula, a o Hamona me kona kula, a o Kiriataima me kona kula,
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 A no ke koena o na mamo a Merari, noloko o ka ohana a Zebuluna, o Rimona me kona kula, a o Tabora me kona kula:
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 A ma kela kapa o Ioredane e kupono ana i Ieriko, ma ka aoao hikina o Ioredane, noloko o ko ka ohana a Reubena, o Bezera ma ka waoakua me kona kula, a o Iahaza me kona kula,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 O Kedemota hoi me kona kula, a o Mepaata me kona kula:
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 Noloko hoi o ko ka ohana a Gada; o Ramota i Gileada me kona kula, a o Mahanaima me kona kula,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 A o Hesebona me kona kula, a o Iazera me kona kula.
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.

< I Oihanaalii 6 >