< I Oihanaalii 27 >

1 A O na mamo a Iseraela ma ko lakou heluia'na, o na makua 'lii, na lunatausani, na lunahaneri, a o ko lakou poe ilamuku i hookauwa na ke alii i kekahi mea o na papa, na poe i hele mai iloko a puka aku iwaho ma ka malama, i na malama a pau o ka makahiki; no kela papa keia papa a pau he iwakaluakumamaha tausani lakou.
Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
2 Maluna o ka papa mua no ka malama mua, o Iasobeama ke keiki a Zabediela: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
3 No na mamo a Pereza ka luna o na luna koa a pau o ko kaua, no ka malama mua.
Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 Maluna o ka papa no ka lua o ka malama o Dodai ka Ahohi, a maluna hoi o kona papa o Mikelota kekahi luna: a ma kona papa hoi he iwakaluakumamaha tausani.
Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
5 O ke kolu o ka lunakaua no ke kolu o ka malama o Benaia ke keiki a Iehoida, he kahuna nui; a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
6 O ua Benaia la ka mea ikaika iwaena o ka poe kanakolu, a ua oi maluna o ke kanakolu: a ma kona papa o Amizabada kana keiki.
Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
7 O ka ha, no ka ha o ka malama, oia o Asahela ko kaikaina o Ioaba, a o Zebadia kana keiki mahope ona: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
8 O ka luna alima no ka lima o ka malama, oia o Samuta ka Izera: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
9 O ke ono, no ke ono o ka malama, oia o Ira ke keiki a Ikesa no Tekoa: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
10 O ka hiku. no ka hiku o ka malama, oia o Heleza ka Pelo, no na mamo a Eperaima; a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
11 O ka walu, no ka walu o ka malama, oia o Sibekai ka Husata, no ka Zara: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
12 O ka iwa, no ka iwa o ka malama, oia o Abiezera no Anetota o ka Beniamina: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
13 O ka umi, no ka umi o ka malama, oia o Maharai no Netopata, no ka Zara: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
14 O ka umikumamakahi, no ka umikumamakahi o ka malama, oia o Benaia no Piratona, no na mamo a Eperaima: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
15 O ka umikumamalua, no ka umikumamalua o ka malama, oia o Heledai no Netopata, na Oteniela: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
16 Eia hoi kekahi, no na luna o na ohana a Iseraela: o ka luna o ka Reubena, oia o Eliezera ke keiki a Zikeri: o ka Simeona, o Sepatia ke keiki a Maaka.
Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
17 O ka Levi, o Hasabia ke keiki a Kemuela: o ka Aarona, o Zadoka:
Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
18 O ka Iuda, o Elihu no na kaikuaana o Davida: o ka Isakara, o Omeri ke keiki a Mikaela:
Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
19 O ka Zebuluna, o Isemaia ke keiki a Obadia: o ka Napetali, o Ierimota ke keiki a Azeriela:
Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
20 O na mamo a Eperaima, o Hosea ke keiki a Azazia: o ka ohana hapa a Manase, o Ioela ke keiki a Pedaia:
Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
21 O ka ohana hapa a Manase i Gileada, o Ido ke keiki a Zekaria: o ka Beniamina, o Iasiela ke koiki a Abenera:
Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
22 O ka Dana, o Azareela ke keiki a Ierohama. O lakou no na luna ohana o ka Iseraela.
Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
23 Aole no i helu o Davida ia lakou i ka poe o ka makahiki iwakalua a malalo iho: no ka mea, ua olelo mai o Iehova, e hoonui ana oia i ka Iseraela e like me na hoku o ka lani.
Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
24 Hoomaka iho la o Ioaba ke keiki a Zeruia e helu, aka, aole ia i hoopau, no ka mea, nolaila i haule mai ai ka inaina i ka Iseraela: aole hoi i kakauia ka huina ma ka buke o ka mooolelo no Davida ke alii
Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
25 A maluna o ke ahuwaiwai o ke alii, o Azemaveta ke keiki a Adiela: a maluna o na halepapaa ma na mahinaai, ma na kulanakauhale, a ma na kauhale, a ma na pakaua, o Iehonatana ke keiki a Uzia.
Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
26 A maluna o ka poe i hana i ka hana ma ka mahinaai, e mahiai i ka aina, o Ezeri ke keiki a Keluba.
Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
27 A maluna o na pawaina o Simei no Ramata: maluna o ka hua o na pawaina no na haleahuwaina o Zabedi no Sipa.
Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
28 Maluna noi o na laau oliva, a o na laau sukamora ma na awawa papu, o Baalahana no Gedera: a o Ioasa maluna o na haleahuaila.
Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
29 A maluna o na pua bipi i hanaiia ma Sarona, o Siterai no Sarona: a maluna o na pua bipi ma na awawa, o Sapata ke keiki a Adelai:
Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
30 Maluna hoi o na kamelo, o Obila ka Isemaela: a maluna o na hoki o Iedeia no Meronota:
Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
31 Maluna hoi o na ohana hipa, o Iaziza ka Hagara. O lakou a pau na luna o ka waiwai o Davida ke alii.
Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
32 A o Ionatana hoi kekahi makuakane o Davida, he kuhina oia, he kanaka naauao, a he kakaaolelo: a o Iehiela ke keiki a Hakemoni, aia no ia me na keikikane a ke alii.
Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
33 A o Ahitopela ke kakaolelo o ke alii: a o Husai no Areka ka hoapili o ke alii.
Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
34 A mahope o Ahitopela o Iehoiada ke keiki a Benaia, a me Abiatara: a o Ioaba ka lunakoa o ko ke alii poe kaua.
Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.

< I Oihanaalii 27 >