< Sòm 63 >
1 Yon Sòm David, lè l te nan dezè Juda a. O Bondye, Ou se Bondye mwen. Mwen va chache Ou ak tout kè m. Nanm mwen swaf pou Ou. Chè m anvi Ou nan yon peyi epwize e sèch kote nanpwen dlo.
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Konsa, mwen te wè Ou nan sanktiyè a, ak pouvwa Ou, ak laglwa Ou.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 Akoz lanmou dous Ou pi bon pase lavi, lèv mwen va louwe Ou.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Pou sa, mwen va beni Ou tout tan ke m viv. Mwen va leve men m nan non Ou.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Nanm mwen satisfè konsi avèk ma zo ak grès, e bouch mwen ap ofri lwanj avèk lèv ranpli de jwa.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Lè m sonje Ou sou kabann mwen, mwen medite sou Ou nan vèy de nwi la.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 Paske Ou te konn sekou mwen. Nan lonbraj a zèl Ou, mwen chante ak jwa.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 Nanm mwen kole ak Ou. Men dwat Ou fè m kenbe.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Men (sila) ki chache lavi mwen pou detwi li yo, va desann jis nan fon latè.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 Yo va livre a pouvwa nepe. Yo va tounen manje pou rena mawon.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Men Wa a va rejwi nan Bondye. Tout moun ki sèmante pa Li menm yo, va twouve glwa. Paske bouch a (sila) ki bay manti yo, va fèmen.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.