< 1 Istwa 1 >

1 Adam, Seth, Énosch
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kénan, Mahalaleel, Jéred,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Hénoc, Metuschélah, Lémec,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noé, Sem, Cham avèk Japhet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Fis a Japhet yo: Gomer, Magog, Madaï, Javan, Tubal, Méschec avèk Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Fis a Gomer yo: Aschkenaz, Diphat, avèk Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Fis a Javan yo: Élischa, Tarsisa, Kittim ak Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Fis a Cham yo: Cush, Mitsraïm, Puth avèk Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Fis a Cush yo: Saba, Havilla, Sabta, Raema avèk Sabteca. —Fis a Raema yo: Séba avèk Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cush te fè Nimrod: se li menm ki te vin yon nonm pwisan sou latè a.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Mitsarïm te fè moun a Ludim yo, Ananim yo, Lehabim yo, Naphtuhim yo,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Patrusim yo, Casluhim yo, sou sila Filisten yo te sòti avèk Kaftorimyen yo.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaan te fè Sidon, premye ne li avèk Heth,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 avèk Jebizyen yo, Amoreyen yo ak Gigazyen yo,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Evyen yo, Akiyen yo, Siniyen yo,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Avadyen yo, Semariyen yo ak Amatyen yo.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Fis a Sem yo: Élam, Assur, Arpacschad, Lud ak Aram; Uts, Hul, Guéter avèk Méschec.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpacschad te fè Schélach; epi Schélach te fè Héber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 De fis te fèt a Éber, non a youn se te Péleg; paske nan jou pa li yo, tè a te divize e non frè li a se te Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Joktan te vin papa a Almodad, Schéleph, Hatsarmaveth, Jérach,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ébal, Abimaël, Séba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havila, avèk Jobab, tout sila te fis a Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arpacschad, Schélach,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Héber, Péleg, Rehu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nachor, Térach,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram, ki se Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Fis a Abraham yo: Isaac avèk Ismaël.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Men desandan pa yo: Nebajoth, premye ne pou Ismaël, Kédar, Adbeel, Mibsam.
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mischma, Duma, Massa, Hadad, Téma,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jethur, Naphisch ak Kedma: sila yo se te fis a Ismaël.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Fis a Ketura yo, ti mennaj a Abraham nan. Li te bay nesans a Zimran, Jokschan, Medan, Madain, Jischbak ak Schuach. —Fis a Jokschan yo: Séba avèk Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Fis a Madian yo: Épha, Épher, Hénoc, Abida avèk Eldaa—Tout sila yo se te fis a Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham te fè Isaac. Fis a Isaac yo se te Ésaü avèk Israël.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Fis a Ésaü yo: Éliphaz, Reuel, Jeusch, Jaelam avèk Koré.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Fis a Éliphaz yo: Théman, Omar, Tsephi, Gaetham, Kenaz, Thimna avèk Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Fis a Reuel yo: Nahath, Zérach, Schamma avèk Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Fis a Séir yo: Lothan, Schobal, Tsibeon, Ana, Dischon, Etser avèk Dischan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Fis a Lothan yo: Hori avèk Homam. Epi sè Lothan an te Thimna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Fis a Schobal yo: Alijan, Manahath, Ébal, Schephi avèk Onam. Fis a Tsibeon yo: Ajja, avèk Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Fis a Ana a: Dischon. Fis a Dischon yo: Hamran, Eschban, Jitran avèk Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Fis a Etser yo: Bilhan, Zaavan avèk Jaakan. Fis a Dischan yo: Uts avèk Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Alò, sila yo se wa ki te renye nan peyi Édom an avan te gen wa an Israël. Béla, fis a Beor la; epi non a vil pa li a se te Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Béla te mouri; epi Jobab, fis a Zérach ki sòti Botsra a, te renye nan plas li.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Jobab te mouri e Huscham a peyi Temanit yo te renye nan plas li.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Huscham te mouri; epi Hadad, fis a Bedad la, te renye nan plas li. Se te li menm ki te frape Madian nan chan Moab la. Non a vil sa a se te Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Hadad te mouri; epi Samia a Maskéka te renye nan plas li.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Samia te mouri; epi Saül a Rehoboth kote flèv la te renye nan plas li.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Saül te mouri; epi Baal-Hanan, fis a Acbor a te renye nan plas li.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Baal-Hanan te mouri; epi Hadad te renye nan plas li. Non a vil sa a se te Pahi; epi non a madanm li se te Mehéthabeel, fi a Mathred la, fi a Mézahab la.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Hadad te mouri. Chèf a Édom yo te chèf Thimna, chèf Alia, chèf Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 chèf Oholibama, chèf Éla ak chèf Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 chèf Kenaz, chèf Théman, chèf Mibtsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 chèf Magdiel, chèf Iram. Sila yo se te chèf Édom yo.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Istwa 1 >