< 1 Istwa 6 >
1 Fis a Lévi yo: Guerschom, Kehath ak Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 Fis a Kehath yo: Amram, Jitsehar, Hébron ak Uziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 Pitit a Amram yo: Aaron avèk Moïse ak Marie. Fis a Aaron yo: Nadab, Abihu, Éléazar ak Ithamar.
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Éléazar te vin papa a Phinées; Phinées te vin papa a Abischua;
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 Abischua te vin papa a Bukki e Bukki te vin papa a Uzzi,
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 epi Uzzi te vin papa a Zerachja; Zerachja te vin papa a Merajoth;
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Merajoth te vin papa a Amaria; Amaria te vin papa a Achithub;
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 epi Achithub te vin papa a Tsadok e Tsadok te vin papa a Achimaats;
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 epi Achimaats te vin papa a Azaria; Azaria te vin papa a Jochanan;
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 Jochanan te vin papa a Azaria, ki te fè sèvis kon prèt nan kay ke Salomon te bati Jérusalem nan;
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 epi Azaria te vin papa a Amaria; Amaria te vin papa a Achithub;
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 Achithub te vin papa a Tsadok; Tsadok te vin papa a Schallum;
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 Schallum te vin papa a Hilkija, Hilkija te vin papa Azaria;
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 Azaria te vin papa a Seraja; Seraja te vin papa a Jehotsadak.
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 Jehotsadak te ale lè SENYÈ a te pote Juda avèk Jérusalem ale an egzil pa Nebucadnetsar.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 Fis a Lévi yo: Guerschom, Kehath ak Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 Sila yo se non a fis a Guerschom yo: Libni avèk Schimeï.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 Fis a Kehath yo: Amram, Jitsehar, Hébron ak Uziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 Fis a Merari yo: Machli ak Muschi. Epi sila yo se fanmi a Levit yo selon zansèt pa yo.
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 Selon Guerschom: Libni, fis li a, Jachath, fis li a; Zimma, fis li a;
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 Joach, fis li a; Iddo, fis li a; Zérach, fis li a; Jeathrai, fis li a.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 Fis a Kehath yo: Amminadab, fis li a; Koré, fis li a; Assir, fis li a;
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 Elkana, fis li a; Ebjasap, fis li a; Assir, fis li a;
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 Thachath, fis li a; Uriel, fis li a; Ozias, fis li a; Saül, fis li a.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 Fis a Elkana yo: Amasaï avèk Achimoth;
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 Elkana, fis li a; Elkana-Tsophaï, fis li a; Nachath, fis li a;
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 Éliab, fis li a; Jerocham, fis li a; Elkana, fis li a;
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 epi fis a Samuel yo, premye ne a, Joel ak Abija.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 Fis a Merari yo: Machli; Libni, fis li a; Schimeï, fis li a; Uzza, fis li a;
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 Schimea, fis li a; Hagguija, fis li a; Asaja, fis li a.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 Alò, sila yo se sila ke David te chwazi nan sèvis chante lakay SENYÈ a, lè lach la te fin poze la.
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 Yo te fè ministè avèk chanson yo devan tant tabènak asanble a, jis lè Salomon te fin bati lakay SENYÈ a Jérusalem; epi yo te sèvi nan fonksyon pa yo selon lòd yo.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 Sila yo se sila ki te sèvi avèk fis pa yo: Soti nan fis a Kehathit yo: Héman, chantè a, fis a Joël la, fis a Samuel la,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 fis a Elkana a, fis a Jerocham nan, fis a Éliel la, fis a Thoach la,
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 fis a Tsuph la, fis a Elkana a, fis a Machath la, fis a Amasaï a,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 fis a Elkana a, fis a Joël la, fis a Azaria a, fis a Sophonie a,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 fis a Thachath la, fis a Assir a, fis a Ebjasaph la, fis a Koré a,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 fis a Jitsehar la, fis a Kehath la, fis a Lévi a, fis a Israël la.
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 Frè Héman an, Asaph te kanpe sou men dwat li, menm Asaph la, fis a Bérékia a, fis a Schimea a,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 fis a Micaël la, fis a Baaséja a, fis a Malkija a,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 fis a Ethni a, fis a Zérach la, fis a Adaja a,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 fis a Éthan an, fis a Zimma a, fis a Schimeï a,
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 fis a Jachath la, fis a Guerschom an, fis a Lévi a.
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 Sou lamen goch, fanmi pa yo, fis a Merari yo: Ethan, fis a Kishi a, fis a Abdi a, fis a Malluch la,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 fis a Haschabia a, fis a Amatsia a, fis a Hilkija a,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 fis a Amtsi a, fis a Bani a, fis a Schémer a,
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 fis a Machli a, fis a Muschi a, fis a Merari a, fis a Lévi a.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 Fanmi pa yo, Levit yo, te chwazi pou tout sèvis tabènak lakay Bondye a.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 Men Aaron avèk fis li yo te lofri sou lotèl ofrann brile a ak sou lotèl lansan an, pou tout zèv kote ki pi sen pase tout lòt yo a e pou fè ekspiyasyon pou Israël, selon tout sa ke Moïse, sèvitè Bondye a, te òdone.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 Sila yo se fis a Aaron yo: Éléazar, fis li a; Phinées, fis li a; Abischua, fis li a;
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 Bukki, fis li a; Uzzi, fis li a; Zerachja, fis li a;
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 Merajoth, fis li a; Amaria, fis li a; Achithub, fis li a;
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 Tsadok, fis li a; Achimaats, fis li a.
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 Alò, sila yo se lye anplasman pa yo selon kan anndan tout fwontyè yo. A fis Aaron yo, a fanmi Keatit yo, (paske premye tiraj osò a te tonbe pou yo),
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 a yo, yo te bay Hébron, nan peyi Juda a ak teren patiraj ki te antoure li a;
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 men chan vil yo ak bouk pa li yo, yo te bay a Caleb, fis a Jephunné a.
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 A fis Aaron yo, yo te bay vil azil sila yo: Hébron, Libna, osi avèk patiraj pa li a, Jatthir, Eschthemoa ak patiraj pa li a,
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
58 Hilen avèk patiraj pa li yo, Debir avèk patiraj pa li a,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 Aschan avèk patiraj pa li a ak Beth-Schémesch avèk patiraj pa li a;
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 epi soti nan tribi Benjamin an, Guéba avèk patiraj pa li a, Aliémeth avèk patiraj pa li a. Tout vil pa yo pami tout fanmi pa yo te trèz vil.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 Epi a tout lòt fis a Kehath yo, te bay pa tiraj osò, soti nan fanmi a tribi a, soti nan mwatye tribi a, mwatye tribi Manassé a, dis vil.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 A fis a Guerschom yo, selon fanmi pa yo, te bay soti nan tribi Issacar ak soti nan tribi Aser a, tribi Nephtali a ak tribi Manassé a, trèz vil nan Basan yo.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 A fis a Merari yo, te bay pa tiraj osò, selon fanmi pa yo, soti nan tribi Ruben an, tribi Gad la ak tribi Zabulon an, douz vil.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 Konsa, fis a Israël yo te bay a Levit yo vil avèk patiraj yo.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 Yo te bay pa tiraj osò soti nan tribi fis a Juda yo, tribi a fis a Siméon yo ak tribi a fis a Benjamin yo, vil sila ki mansyone pa non yo.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 Alò, kèk nan fanmi a fis a Kehath yo te gen vil nan teritwa pa yo soti nan tribi Éphraïm.
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 Yo te bay yo vil azil yo kon swivan: Sichem avèk patiraj li nan peyi ti mòn Éphraïm yo avèk patiraj pa li; anplis, Gezer avèk patiraj li yo,
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
68 Jokmeam avèk patiraj pa li, Beth-Horon avèk patiraj pa li;
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 Ajalon avèk patiraj pa li e Gath-Rimmon avèk patiraj pa li;
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 epi depi nan mwatye tribi Manassé a, Aner ak tè patiraj pa li a, e Bileam ak tè patiraj pa li a, pou rès fanmi a fis Kehath yo.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 A fis Guerschom yo, yo te bay soti nan fanmi a mwatye tribi Manassé a: Golan avèk Basan ak patiraj pa li e Aschtaroth avèk patiraj pa li;
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 epi a tribi Issacar a: Kédesch avèk patiraj pa li, Dobrath avèk patiraj pa li,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 Ramoth avèk patiraj pa li e Ahem avèk patiraj li,
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 epi soti nan tribi Aser, Maschal avèk patiraj pa li; Abdon avèk patiraj pa li,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 Hukok avèk patiraj pa li e Rehob avèk patiraj pa li;
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 epi soti nan tribi Nephthali, Kédesch nan Galilée avèk patiraj pa li, Hammon avèk patiraj pa li e Kir-jathaïm avèk patiraj pa li.
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 Pou rès nan Levit yo, fis a Merari yo: te resevwa soti nan tribi Zabulon, Rimmono avèk patiraj pa li;
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 epi lòtbò Jourdain an nan Jéricho, nan kote lès Jourdain an, te bay a yo menm soti nan tribi Ruben an: Betser nan dezè a avèk patiraj pa li yo ak Jahtsa avèk patiraj pa li,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 Kedémoth avèk patiraj pa li ak Méphaath avèk patiraj pa li;
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 epi soti nan tribi a Gad la; te bay Ramoth nan Galaad avèk patiraj pa li, Mahanaïm avèk patiraj pa li,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 Hesbon avè patiraj pa li ak Jaezer avèk patiraj pa li.
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.