< 1 Istwa 25 >
1 Anplis, David avèk kòmandan lame yo te mete apa pou sèvis kèk nan fis a Asaph yo, Héman ak Jeduthun pou pwofetize avèk gita yo, ap ak senbal; epi fòs kantite moun ki te fè sèvis pa yo se te:
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 Nan fis a Asaph yo: Zaccur, Joseph, Nethania avèk Aschareéla; fis a Asaph yo te anba direksyon a Asaph, ki te pwofetize anba direksyon a wa a.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 Selon Juduthun, fis a Juduthun yo: Guedalia, Tseri, Ésaïe, Haschabia, Matthithia avèk Schimeï, sis, anba direksyon a papa yo, Juduthun, avèk ap la, ki te konn pwofetize nan bay remèsiman avèk lwanj SENYÈ a.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 Selon Héman, fis a Héman nan: Bukkija, Matthania, Uziel, Schebuel, Jerimoth, Hanania, Hanani, Éliatha, Guiddalthi, Romamthi-Ézer, Joschbekascha, Mallòthi, Hothir, Machazioth.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Tout sila yo te fis a Héman yo, konseye a wa a ki pou bay li ekspiyasyon selon pawòl a Bondye; paske Bondye te bay katòz fis ak twa fi a Héman.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Tout te anba direksyon a papa yo pou chante lakay SENYÈ a, avèk senbal, ap ak gita yo, pou sèvis kay Bondye a. Asaph, Jeduthun avèk Héman te anba direksyon wa a.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 Fòs kantite nan yo ki te prepare kon chantè a SENYÈ yo, avèk manm fanmi pa yo, tout te byen abil, te de-san-katreven-di-zuit.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 Yo te tire osò pou travay tach yo, tout menm jan an, piti kon gran, pwofesè kon elèv.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Alò, premye tiraj osò a te tonbe a Asaph pou Joseph, dezyèm nan pou Guedalia, li menm, fanmi li ak fis pa li yo te fè douz;
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 Twazyèm nan a Zaccur, fis li yo avèk fanmi li, douz;
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 katriyèm nan a Jìtseri, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 senkyèm nan a Nethania, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 sizyèm nan a Bukkija, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 setyèm nan a Jesareéla, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 uityèm nan a Ésaïe, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 nevyèm nan a Matthania, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 dizyèm nan a Schimeï, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 onzyèm nan a Azareel, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 douzyèm nan a Haschabia, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 trèzyèm nan a Schubaël, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 katòzyèm nan a Matthithia, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 kenzyèm nan a Jerémoth, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 sèzyèm nan a Hanania, fis li yo avèk fanmi li, douz;
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 di-setyèm nan a Joschbekascha, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 di-zuityèm nan a Hanani, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 diz-nevyèm nan a Mallothi, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 ventyèm nan a Élijatha, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 ven-te-inyèm nan a Hothir, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 venn-dezyèm nan a Guiddalthi, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 venn-twazyèm nan a Machazioth, fis li yo avèk fanmi li, douz;
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 venn-katriyèm nan a Romamthi-Ézer, fis li yo avèk fanmi li, douz.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.