< 1 Istwa 25 >

1 Apre sa, wa David ak chèf moun Levi ki reskonsab sèvis nan Tanp lan te chwazi branch fanmi Asaf, branch fanmi Eyman ak branch fanmi Jedoutoun pou ba yo travay pa yo. Se yo ki pou bay mesaj Bondye yo, antan y'ap jwe gita, bandjo ak senbal. Men lis moun yo te chwazi yo ak travay yo chak:
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 Asaf te gen kat pitit: Zakou, Jozèf, Netama ak Acharela. Yo te sou zòd Asaf. Se li ki te konn fè konnen mesaj Bondye yo chak lè wa a mande l' pou l' fè l'.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 Jedoutoun te gen sis pitit: Gedalya, Zeri, Izayi, Chimèy, Asabya ak Matatya. Yo te sou zòd Jedoutoun, papa yo. Se yo ki te konn fè konnen mesaj Bondye yo antan y'ap jwe gita, pou fè lwanj Bondye, pou di l' mèsi.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 Eyman te gen katòz pitit: Boukija, Matanya, Ouzyèl, Sebwèl, Jerimòt, Ananya, Anani, Elyata, Gidalti, Womanti-Ezè, Josbekacha, Maloti, Oti ak Maziòt.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Bondye te bay Eyman, pwofèt wa a, katòz pitit gason sa yo ak twa pitit fi, dapre pwomès li te fè l' pou l' te ba li anpil pouvwa. Lè yo t'ap fè konnen mesaj Bondye yo, se yo ki te pou kònen twonpèt yo.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Se Eyman, papa yo, ki t'ap dirije yo lè y'ap chante nan sèvis y'ap fè nan Tanp Bondye a, antan y'ap jwe gita, bandjo ak senbal. Asaf, Jedoutoun ak Eyman te sou zòd wa a.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 Sa te fè antou desankatrevenwit (288) mizisyen ki te fò nan fè mizik, ansanm ak tout lòt moun Levi parèy yo ki te aprann chante pou Seyè a.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 Yo fè tout moun piye, gran kou piti, ni sa ki te fò nan fè mizik, ni sa ki te fèk konmanse aprann, pou yo te ka konnen lè pou yo fè travay yo nan sèvis la.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Desankatrevenwit (288) mesye sa yo te separe chak fanmi apa. Sa te fè vennkat gwoup. Chak gwoup te gen douz moun. Nan chak gwoup te gen yon chèf ak pitit gason l' yo ansanm ak frè l' yo. Men nan ki lòd yo te soti apre yo fin piye a. Premye a te Jozèf nan fanmi Asaf la, dezyèm lan Gedalya,
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 twazyèm lan Zakou,
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 katriyèm lan Jisri,
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 senkyèm lan Netanya,
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 sizyèm lan Boukya,
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 setyèm lan Acharela,
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 wityèm lan Izayi,
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 nevyèm lan Matanya,
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 dizyèm lan Chimeyi,
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 onzyèm lan Azareyèl,
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 douzyèm lan Achabya,
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 trèzyèm lan Choubayèl,
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 katòzyèm lan Matatya,
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 kenzyèm lan Jerimòt,
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 sèzyèm lan Ananya,
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 disetyèm lan Josbekacha,
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 dizwityèm lan Anani,
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 diznevyèm lan Maloti,
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 ventyèm lan Elyata,
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 venteyenyèm lan Oti,
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 venndezyèm lan Gidalti,
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 venntwazyèm lan Maziòt,
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 vennkatryèm lan Womanti-Ezè.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< 1 Istwa 25 >