< 2 Samũeli 22 >

1 Daudi nĩainĩire Jehova na ciugo cia rwĩmbo rũrũ rĩrĩa Jehova aamũhonokirie kuuma guoko-inĩ gwa thũ ciake ciothe na kuuma guoko-inĩ gwa Saũlũ.
Daudi akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu siku ile Yahwe alipomwokoa katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli.
2 Akiuga atĩrĩ:
Akaomba hivi, “Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, aliyeniokoa.
3 Ngai wakwa nĩwe rwaro rwakwa rwa ihiga, na nĩwe rĩũrĩro rĩakwa,
Mungu ni mwamba wangu. Yeye ni kimbilio langu. Ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu na kimbilio langu, aniokoaye na mabaya yote.
4 Ngayagĩra Jehova, ũrĩa wagĩrĩire kũgoocagwo,
Nitamwita Yahwe, astahiliye kutukuzwa, nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
5 “Ndiihũ cia gĩkuũ nĩciathiũrũrũkĩirie;
Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda.
6 Mĩhĩndo ya mbĩrĩra ĩgĩĩthiororokeria; (Sheol h7585)
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
7 Mĩnyamaro-inĩ yakwa ndakaĩire Jehova;
Katika shida yangu nalimwita Yahwe; nilimwita Mungu wangu; akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, na kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake.
8 “Thĩ ĩkĩinaina na ĩgĩthingitha;
Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka. Misingi ya mbingu ikatetemeka na kutikiswa, kwa kuwa Mungu alikasirika.
9 Ndogo ĩkiuma maniũrũ-inĩ make ĩkĩambata na igũrũ;
Moshi ukatoka katika pua yake, na miale ya moto ikatoka katika kinywa chake. Makaa yakawashwa nayo.
10 Aahingũrire igũrũ agĩikũrũka thĩ;
Alizifungua mbingu akashuka, na giza totoro lilikuwa chini ya miguu yake.
11 Ombũkire akuuĩtwo nĩ ikerubi;
Alipanda juu ya kerubi na kuruka. Alionekana katika mawingu ya upepo.
12 Ehumbĩrire na nduma,
Naye akalifanya giza kuwa hema kumzunguka, akakusanya mawingu makubwa ya mvua angani.
13 Kuuma ũkengi ũrĩa warĩ harĩ we,
Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi.
14 Jehova akĩruruma arĩ kũu igũrũ;
Yahwe alishuka kutoka katika mbingu. Aliyejuu alipiga kelele.
15 Aikirie mĩguĩ, akĩharagania thũ,
Alipiga mishale na kuwatawanya adui zake—miale ya radi na kuwasambaratisha.
16 Hĩndĩ ĩyo mĩkuru ya iria ĩkĩonekana,
Kisha njia za maji zikaonekana; misingi ya dunia ikawa wazi katika kilio cha vita ya Yahweh, katika sauti za pumzi ya pua zake.
17 “Agĩtambũrũkia guoko gwake kuuma o kũu igũrũ akĩnyiita;
Kutoka juu alifika chini; akanishikilia! Aliniondoa katika vilindi vya maji.
18 Andeithũrire thũ yakwa ĩrĩ hinya,
Aliniokoa kutoka kwa adui zangu wenye nguvu, kwao walionichukia, kwa maana walikuwa na nguvu sana kwangu.
19 Maanjĩhotoreire mũthenya ũrĩa ndaarĩ na mũtino,
Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu, lakini Yahwe alikuwa msaada wangu.
20 Andutire na nja akĩndwara handũ haariĩ,
Pia aliniweka mahali panapo nafasi. Aliniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
21 “Jehova anjĩkĩire maũndũ kũringana na ũthingu wakwa,
Yahwe amenituza kwa kipimo cha haki yangu; amenirejesha kwa kiwango cha usafi wa mikono yangu.
22 Nĩgũkorwo nĩnũmĩtie njĩra cia Jehova;
Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu.
23 Mawatho make mothe marĩ mbere yakwa;
Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.
24 Ngoretwo itarĩ na ũcuuke ndĩ mbere yake,
Nimekuwa bila hatia mbele zake pia, na nimejiepusha na dhambi.
25 Jehova andĩhĩte kũringana na ũthingu wakwa,
Kwa hiyo Yahwe amenirejesha kwa kiasi cha uadilifu wangu, kwa kipimo cha usafi wangu mbele zake.
26 “Ũrĩ mwĩhokeku harĩ arĩa makwĩhokete,
Kwa mwaminifu, unajionesha kuwa mwaminifu; kwake asiye na hatia; unajionesha kuwa hauna hatia.
27 kũrĩ ũrĩa wĩtheragia wĩonanagia ũrĩ mũtheru,
Kwa usafi unajionesha kuwa msafi, lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi.
28 Wee ũhonokagia andũ arĩa enyiihia,
Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, unawashusha chini.
29 Wee Jehova, nĩwe tawa wakwa,
Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
30 Ndĩ na ũteithio waku no hote gũtharĩkĩra mbũtũ ya ita;
Maana kwa ajili yake ninaweza kupita vipingamizi; kwa msaada wa Mungu wangu naweza kuruka juu ya ukuta.
31 “Mũrungu-rĩ, njĩra ciake nĩnginyanĩru;
Maana njia za Mungu ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi. Yeye ni ngao yao wanaomkimbilia.
32 Nĩ ũndũ-rĩ, nũũ Mũrungu tiga Jehova?
Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
33 Nĩ Mũrungu ũũhotoraga hinya na ũhoti,
Mungu ni kimbilio langu, na umwongoza katika njia yake mtu asiye na hatia.
34 Atũmaga magũrũ makwa matengʼere o ta ma thwariga;
Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu.
35 We nĩwe wonagia moko makwa mũrũĩre wa mbaara;
Huifundisha mikono yangu kwa vita, na viganja vyangu kupinda upinde wa shaba.
36 Ũũheaga ngo yaku ya ũhootani;
Umenipa ngao ya wokovu wako, na matakwa yako yamenifanya mkuu.
37 Ũnjaramagĩria njĩra ya kũrĩa thiiagĩra,
Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu, hivyo miguu yangu haikujikwaa.
38 “Ndaingatithirie thũ ciakwa na ngĩcihehenja;
Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza. Sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.
39 Ndacihehenjire biũ, ikĩremwo nĩ gũũkĩra,
Niliwararua na kuwasambaratisha; hawawezi kuinuka. Wameanguka chini ya miguu yangu.
40 Wee ũũheaga hinya wa kũrũa mbaara,
Unaweka nguvu ndani yangu kama mkanda kwa vita; unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu.
41 Watũmire thũ ciakwa ihũndũke ciũre,
Ulinipa migongo ya shingo za adui zangu; niliwaangamiza kabisa wale wanaonichukia.
42 Maakaire mateithio, no hatiarĩ na wa kũmahonokia,
Walilia kwa msaada, lakini hakuna aliyewaokoa; walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu.
43 Ndaamahũũrire makĩhaana ta rũkũngũ rũhinyu rwa thĩ;
Niliwaponda katika vipande kama mavumbi juu ya ardhi, niliwakanyaga kama matope mitaani.
44 “Nĩũũhonoketie ngaaga gũtharĩkĩrwo nĩ andũ akwa;
Umeniokoa pia kutoka katika mashutumu ya watu wangu. Umeniweka kama kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua wananitumikia.
45 andũ a kũngĩ mokaga kũrĩ niĩ menyiihĩtie;
Wageni walishurutishwa kuniinamia. Mara waliposikia kuhusu mimi, walinitii.
46 Othe makuuaga ngoro;
Wageni walikuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.
47 “Jehova atũũraga muoyo! O we Rwaro rwakwa rwa Ihiga arogoocwo!
Yahwe anaishi! Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe, mwamba wa wokovu wangu.
48 We nĩwe Mũrungu ũrĩa ũndĩhagĩria,
Huyu ndiye Mungu anilipiaye kisasi, awawekaye watu chini yangu.
49 nĩwe ũũhonokagia kuuma kũrĩ thũ ciakwa.
Uniweka huru mbali na adui zangu. Hakika, uliniinua juu yao walioinuka kinyume changu. Uliniokoa kutoka kwa watu wenye ghasia.
50 Nĩ ũndũ ũcio, Wee Jehova, nĩndĩkũgoocaga ndĩ gatagatĩ ka ndũrĩrĩ,
Kwa hiyo nitakushukuru, Yahwe, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
51 Aheaga mũthamaki wake ũhootani mũnene;
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake, kwa Daudi na uzao wake daima.”

< 2 Samũeli 22 >