< Psalm 135 >

1 Hallelujah! Lobet den Namen Jehovahs, lobet, ihr Knechte Jehovahs!
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 Ihr, die ihr steht in dem Hause Jehovahs, in den Höfen des Hauses unseres Gottes:
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Hallelujah; denn gut ist Jehovah. Singt Psalmen Seinem Namen; denn lieblich ist Er.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Denn Jakob hat Jah Sich erwählt, Israel zu Seinem besonderen Eigentum.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Denn ich weiß, daß groß ist Jehovah, und unser Herr vor allen Göttern;
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Alles, wozu Jehovah Lust hat, tut Er im Himmel und auf Erden, im Meer und allen Abgründen.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Er führt Dünste herauf vom Ende der Erde, macht Blitze zu Regen, bringt den Wind heraus aus Seinen Schätzen.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 Der die Erstgeborenen Ägyptens schlug vom Menschen bis zum Vieh;
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Er sandte Zeichen und Wahrzeichen, in deine Mitte Ägypten, wider Pharao und wider alle seine Knechte.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Der viele Völkerschaften hat geschlagen und mächtige Könige erwürgte.
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Sichon, den König der Amoriter, und Og, den König Baschans, und alle Königreiche Kanaans.
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Und Der ihr Land zum Erbe hat gegeben, zum Erbe Israel, Seinem Volke.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Jehovah, Dein Name ist ewig, Jehovah, Dein Gedächtnis zu Geschlecht und Geschlecht.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Denn Recht wird sprechen Seinem Volk Jehovah, und es wird Ihn gereuen wegen Seiner Knechte.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Die Götzen der Völkerschaften sind Silber und Gold, sie sind gemacht von den Händen des Menschen.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Einen Mund haben sie und reden nicht; Augen haben sie und sehen nicht.
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 Sie haben Ohren und nehmen nicht zu Ohren, auch ist in ihrem Mund kein Hauch.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Wie sie werden sein, die sie machen, ein jeder, der auf sie vertraut.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 O Haus Israel, segnet Jehovah; o Haus Aharons, segnet Jehovah!
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 O Haus Levi, segnet Jehovah; die ihr Jehovah fürchtet, segnet Jehovah!
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Gesegnet sei Jehovah aus Zion, Er, Der in Jerusalem wohnt. Hallelujah!
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Psalm 135 >