< Psalm 114 >

1 Da Israel aus Ägypten zog, das Haus Jakob aus dem Volke fremder Sprache,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 da ward Juda sein Heiligtum, Israel sein Herrschaftsgebiet.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 Das Meer sah es und floh, der Jordan wandte sich zurück;
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 die Berge hüpften wie Widder, die Hügel wie junge Schafe.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 Was kam dich an, o Meer, daß du flohest, du Jordan, daß du dich zurückwandtest,
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 ihr Berge, daß ihr hüpftet wie Widder, ihr Hügel wie junge Schafe?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 Ja, Erde, bebe nur vor dem Angesicht des Herrschers, vor dem Angesicht des Gottes Jakobs,
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 der den Fels in einen Wasserteich verwandelte, den Kieselstein in einen Wasserquell!
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Psalm 114 >