< Psalm 109 >
1 Dem Vorsänger. Ein Psalm Davids. Gott, den ich rühme, schweige nicht!
Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
2 Denn sie haben ihr gottloses und falsches Maul wider mich aufgetan; sie sagen mir Lügen ins Gesicht,
Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
3 sie bieten gehässige Worte über mich herum und bekämpfen mich ohne Grund.
Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
4 Dafür, daß ich sie liebe, sind sie mir feind; ich aber bete.
Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
5 Sie beweisen mir Böses für Gutes und Haß für Liebe.
Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
6 Bestelle einen Gesetzlosen über ihn, und ein Ankläger stehe zu seiner Rechten!
Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
7 Wenn er gerichtet wird, so möge er schuldig gesprochen werden, und sein Gebet werde ihm zur Sünde!
Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
8 Seiner Tage seien wenige, und sein Amt empfange ein anderer!
Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
9 Seine Kinder sollen Waisen werden und sein Weib eine Witwe!
Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
10 Seine Kinder müssen umherwanken und betteln, hilfesuchend aus ihren Ruinen hervorkommen!
Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
11 Der Gläubiger nehme ihm alles weg, und Fremde sollen plündern, was er sich erworben.
Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
12 Niemand gebe ihm Gnadenfrist, und keiner erbarme sich seiner Waisen!
Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
13 Seine Nachkommenschaft falle der Ausrottung anheim, ihr Name erlösche im zweiten Geschlecht!
Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
14 Seiner Väter Missetat müsse gedacht werden vor dem HERRN, und seiner Mutter Sünde werde nicht ausgetilgt!
Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
15 Der HERR habe sie beständig vor Augen, daß ihr Gedächtnis von der Erde vertilgt werde,
Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
16 weil er nicht daran dachte, Barmherzigkeit zu üben, sondern den Elenden und Armen verfolgte und den Niedergeschlagenen, um ihn in den Tod zu treiben.
Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
17 Da er den Fluch liebte, so komme er über ihn; und da er den Segen nicht begehrte, so sei er fern von ihm!
Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
18 Er zog den Fluch an wie sein Gewand; so dringe er in sein Inneres wie Wasser und wie Öl in seine Gebeine;
Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
19 er sei ihm wie das Kleid, das er anzieht, und wie der Gurt, damit er sich ständig umgürtet!
Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
20 Das sei der Lohn meiner Ankläger vonseiten des HERRN, derer, welche Arges wider meine Seele reden!
Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
21 Du aber, o HERR, mein Herr, handle mit mir um deines Namens willen; denn deine Gnade ist gut; darum errette mich!
Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
22 Denn ich bin elend und arm, und mein Herz ist verwundet in meiner Brust.
Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
23 Wie ein Schatten, wenn er sich neigt, schleiche ich dahin; ich werde verscheucht wie eine Heuschrecke.
Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
24 Meine Knie wanken vom Fasten, mein Fleisch magert gänzlich ab;
Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
25 und ich bin ihnen zum Gespött geworden; wer mich sieht, schüttelt den Kopf.
Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
26 Hilf mir, o HERR, mein Gott! Rette mich nach deiner Gnade,
Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
27 so wird man erkennen, daß dies deine Hand ist, daß du, HERR, solches getan hast.
Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
28 Fluchen sie, so segne du; setzen sie sich wider mich, so müssen sie zuschanden werden; aber dein Knecht müsse sich freuen.
Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
29 Meine Ankläger müssen Schmach anziehen und in ihre Schande sich hüllen wie in einen Mantel.
Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
30 Ich will den HERRN laut preisen mit meinem Munde und inmitten vieler ihn rühmen,
Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
31 weil er dem Armen zur Seite steht, ihn zu retten von denen, die ihn verurteilen.
Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.