< Sprueche 7 >
1 Mein Sohn, bewahre meine Rede und birg meine Gebote in dir!
Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
2 Beobachte meine Gebote, so wirst du leben, und bewahre meine Lehre wie einen Augapfel!
Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
3 Binde sie an deine Finger, schreibe sie auf die Tafel deines Herzens!
Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4 Sprich zur Weisheit: Du bist meine Schwester! und sage zum Verstand: Du bist mein Vertrauter!
Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5 daß du bewahrt bleibest vor dem fremden Weibe, vor der Buhlerin, die glatte Worte gibt!
ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6 Denn als ich am Fenster meines Hauses durch das Gitter guckte
Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7 und die Einfältigen beobachtete, bemerkte ich unter den Söhnen einen unverständigen Jüngling.
Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8 Der strich auf der Gasse herum, nicht weit von ihrem Winkel, und betrat den Weg zu ihrem Haus
Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 in der Dämmerung, beim Einbruch der Nacht, da es dunkelte.
Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 Siehe, da lief ihm ein Weib entgegen im Hurenschmuck und verschmitzten Herzens,
Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 frech und zügellos. Ihre Füße können nicht zu Hause bleiben;
Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 bald auf der Straße, bald auf den Plätzen, an allen Ecken lauert sie.
Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13 Die ergriff und küßte ihn, und mit unverschämter Miene sprach sie zu ihm:
Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
14 «Ich war ein Dankopfer schuldig, heute habe ich meine Gelübde bezahlt;
leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
15 darum bin ich ausgegangen dir entgegen, um eifrig dein Angesicht zu suchen, und ich fand dich auch!
hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
16 Ich habe mein Lager mit Teppichen gepolstert, mit bunten Decken von ägyptischem Garn;
Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17 ich habe mein Bett besprengt mit Myrrhe, Aloe und Zimt.
Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
18 Komm, wir wollen der Liebe genießen bis zum Morgen, uns an Liebkosungen ergötzen!
Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19 Denn der Mann ist nicht zu Hause, er hat eine weite Reise angetreten,
Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20 er hat den Geldbeutel mitgenommen und kommt erst am Tage des Vollmonds wieder heim.»
Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21 Durch ihr eifriges Zureden machte sie ihn geneigt und bewog ihn mit ihren glatten Worten,
katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22 so daß er ihr plötzlich nachlief, wie ein Ochse zur Schlachtbank geht und wie ein Gefesselter zum Narrenhaus
Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
23 (bis ihm der Pfeil die Leber spaltet), wie ein Vogel ins Netz hinein fliegt und nicht weiß, daß es ihn sein Leben kostet!
mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24 So schenkt mir nun Gehör, ihr Söhne, und merkt auf die Reden meines Mundes!
Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25 Dein Herz neige sich nicht ihren Wegen zu, und verirre dich nicht auf ihre Pfade;
Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26 denn sie hat viele verwundet und zu Fall gebracht, und gewaltig ist die Zahl ihrer Opfer.
Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27 Wege zur Unterwelt sind ihr Haus, führen hinab zu den Kammern des Todes! (Sheol )
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )