< Esra 2 >
1 Und folgendes sind die Landeskinder, die aus der Gefangenschaft heraufzogen, welche Nebukadnezar, der König von Babel, nach Babel geführt hatte, und die wieder nach Jerusalem und Juda kamen, ein jeder in seine Stadt,
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 welche mit Serubbabel, Jesua, Nehemia, Seraja, Reelaja, Mordechai, Bilsan, Mispar, Bigvai, Rehum und Baana kamen. Dies ist die Anzahl der isrealitischen Männer:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 Die Söhne Paroschs: 2172;
wazao wa Paroshi 2,172
4 die Söhne Sephatjas: 372;
wazao wa Shefatia 372
6 Die Söhne Pachat-Moabs von den Söhnen Jesua-Joabs: 2812;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
8 die Söhne Satthus: 945;
wazao wa Zatu 945
9 die Söhne Sakkais: 760;
wazao wa Zakai 760
11 die Söhne Bebais: 623;
wazao wa Bebai 623
12 die Söhne Asgads: 1222;
wazao wa Azgadi 1,222
13 die Söhne Adonikams: 666;
wazao wa Adonikamu 666
14 die Söhne Bigvais: 2056;
wazao wa Bigwai 2,056
16 die Söhne Aters von Hiskia: 98;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 die Söhne Bezais: 323;
wazao wa Besai 323
18 die Söhne Jorahs: 112;
wazao wa Yora 112
19 die Söhne Hasmus: 223;
wazao wa Hashumu 223
20 die Söhne Gibbars: 95;
wazao wa Gibari 95
21 die Söhne Bethlehems: 123;
watu wa Bethlehemu 123
22 die Männer Netophas: 56;
watu wa Netofa 56
23 die Männer Anatots: 128;
watu wa Anathothi 128
24 die Söhne Asmavets: 42;
watu wa Azmawethi 42
25 die Leute von Kirjat-Arim, [Kirjat] -Kephira und [Kirjat] -Beerot: 743;
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 die Leute von Rama und Geba: 621;
wazao wa Rama na Geba 621
27 die Männer von Michmas: 122;
watu wa Mikmashi 122
28 die Männer von Bethel und Ai: 223;
watu wa Betheli na Ai 223
30 die Söhne Magbis: 156;
wazao wa Magbishi 156
31 die Söhne Elams, des zweiten: 1254;
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 die Söhne Harims: 320;
wazao wa Harimu 320
33 die Söhne Lods, Hadids und Onos: 725;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 die Leute von Jericho: 345;
wazao wa Yeriko 345
35 die Söhne Senaas: 3630.
wazao wa Senaa 3,630
36 Die Priester: Die Söhne Jedajas, vom Hause Jesuas: 973;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 die Söhne Immers: 1052;
wazao wa Imeri 1,052
38 die Söhne Pashurs: 1247;
wazao wa Pashuri 1,247
39 die Söhne Harims: 1017.
wazao wa Harimu 1,017
40 Die Leviten: Die Söhne Jesuas und Kadmiels, von den Söhnen Hodavias: 74.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 Die Sänger: Die Söhne Asaphs: 128.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 Die Söhne der Torhüter: die Söhne Sallums, die Söhne Aters, die Söhne Talmons, die Söhne Akkubs, die Söhne Hatitas und die Söhne Sobais, zusammen: 139.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 Die Tempeldiener: die Söhne Zihas, die Söhne Hasuphas, die Söhne Tabbaots.
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 Die Söhne Keros, die Söhne Siahas, die Söhne Padons,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 die Söhne Lebanas, die Söhne Hagabas, die Söhne Akkubs;
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 die Söhne Hagabs, die Söhne Samlais, die Söhne Hanans;
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 die Söhne Giddels, die Söhne Gahars; die Söhne Reajas;
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 die Söhne Rezins, die Söhne Nekodas, die Söhne Gassams;
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 die Söhne Ussas, die Söhne Paseachs, die Söhne Besais;
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 die Söhne Asnas, die Söhne Mehunims, die Söhne Nephusiams;
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 die Söhne Bakbuks, die Söhne Hakuphas, die Söhne Harhurs;
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 die Söhne Bazluts, die Söhne Mehidas, die Söhne Harsas,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 die Söhne Barkos, die Söhne Siseras, die Söhne Temachs;
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 die Söhne Neziachs, die Söhne Hatiphas;
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 die Söhne der Knechte Salomos: Die Söhne Sotais, die Söhne Sopherets, die Söhne Perudas;
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 die Söhne Jaalas, die Söhne Darkons, die Söhne Giddels;
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 die Söhne Sephatjas, die Söhne Hattils, die Söhne Pocherets von Zebajim, die Söhne Amis.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 Aller Tempeldiener und Söhne der Knechte Salomos waren 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 Und folgende zogen auch mit herauf aus Tel-Melach und Tel-Harsa, Kerub, Addan und Immer, konnten aber das Vaterhaus und ihre Abstammung nicht nachweisen, ob sie aus Israel wären:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 Die Söhne Delajas, die Söhne Tobias, die Söhne Nekodas: 652.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 Und von den Söhnen der Priester: Die Söhne Habajas, die Söhne Hakkoz, die Söhne Barsillais, der von den Töchtern Barsillais, des Gileaditers, ein Weib genommen und nach dessen Namen genannt worden war.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 Diese suchten ihre Geschlechtsregister und fanden keine; darum wurden sie als unrein vom Priestertum ausgeschlossen.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 Und der Landpfleger sagte ihnen, sie sollten nicht vom Allerheiligsten essen, bis ein Priester mit dem Licht und Recht aufstünde.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 Die ganze Gemeinde zählte insgesamt 42360 Seelen,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 ausgenommen ihre Knechte und ihre Mägde; derer waren 7337; und dazu 200 Sänger und Sängerinnen.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Sie hatten 736 Pferde und 245 Maultiere,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 an Kamelen 435, und 6720 Esel.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 Und von etlichen Familienhäuptern wurden, als sie zum Hause des HERRN nach Jerusalem kamen, freiwillige Gaben für das Haus Gottes zu seinem Wiederaufbau geschenkt;
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 und zwar gaben sie nach ihrem Vermögen an den Bauschatz 61000 Dareiken und 5000 Silberminen und 100 Priesterröcke.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 Also ließen sich die Priester und die Leviten und die von dem Volk und die Sänger und die Torhüter und die Tempeldiener in ihren Städten nieder und ganz Israel in seinen Städten.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.