< 1 Chronik 25 >

1 Und David samt den Heerführern sonderte von den Söhnen Asaphs, Hemans und Jedutuns solche zum Dienste aus, welche weissagten zum Harfen, Psalter und Zimbelspiel. Die Zahl der Männer, die diesen Dienst verrichteten, war:
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 von den Söhnen Asaphs: Sakkur, Joseph, Netanja, Asarela, unter der Leitung Asaphs, welcher nach Anweisung des Königs weissagte.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 Von Jedutun: die Söhne Jedutuns waren: Gedalja, Zeri, Jesaja, Chaschabja, Mattitja und Simei, ihrer sechs, unter der Leitung ihres Vaters Jedutun, welcher mit der Harfe weissagend dankte und den HERRN lobte.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 Von Heman: die Söhne Hemans waren: Buckija, Mattanja, Ussiel, Schebuel, Jerimot, Chananja, Chanani, Eliata, Giddalti, Romamti-Eser, Joschbekascha, Malloti, Hotir und Machasiot.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Alle diese waren Söhne Hemans, des Sehers des Königs; nach den Worten Gottes von der Erhöhung des Horns, gab Gott dem Heman vierzehn Söhne und drei Töchter.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Alle diese waren unter der Leitung ihrer Väter Asaph, Jedutun und Heman beim Gesang im Hause des HERRN, mit Zimbeln, Psaltern und Harfen zum Dienst im Hause Gottes nach der Anweisung des Königs tätig.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 Und ihre Zahl samt ihren Brüdern, aller, die im Gesang unterrichtet waren und verstanden, dem HERRN zu singen, betrug zweihundertachtundachtzig.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 Sie warfen aber das Los über ihr Amt, der Kleinste wie der Größte, der Lehrer wie der Schüler.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Und das erste Los für Asaph fiel auf Joseph. Das zweite fiel auf Gedalja samt seinen Brüdern und Söhnen, ihrer zwölf;
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 das dritte auf Sakkur samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf;
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 das vierte auf Jizri samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf;
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 das fünfte auf Netanja samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 Das sechste auf Buckija samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 Das siebente auf Jescharela samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 Das achte auf Jesaja samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 Das neunte auf Mattanja samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 Das zehnte auf Simei samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 Das elfte auf Asareel samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 Das zwölfte auf Chaschabja samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 Das dreizehnte auf Schubael samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 Das vierzehnte auf Mattitja samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 Das fünfzehnte auf Jeremot samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 Das sechzehnte auf Chananja samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 Das siebzehnte auf Joschbekascha samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 Das achtzehnte auf Chanani samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 Das neunzehnte auf Malloti samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 Das zwanzigste auf Eliata samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 Das einundzwanzigste auf Hotir samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 Das zweiundzwanzigste auf Gidalti samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 Das dreiundzwanzigste auf Machasiot samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 Das vierundzwanzigste auf Romamti-Eser samt seinen Söhnen und Brüdern, ihrer zwölf.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< 1 Chronik 25 >