< 1 Chronik 24 >

1 Folgendes sind die Abteilungen der Söhne Aarons: Die Söhne Aarons waren: Nadab und Abihu, Eleasar und Itamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Aber Nadab und Abihu starben vor dem Angesicht ihres Vaters und hatten keine Kinder; und Eleasar und Itamar wurden Priester.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Und David teilte sie, zusammen mit Zadok, aus den Söhnen Eleasars, und mit Achimelech, aus den Söhnen Itamars, in ihre Dienstklassen ein.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Es fand sich aber, daß die Söhne Eleasars an Familienhäuptern zahlreicher waren als die Söhne Itamars. Daher teilte man sie so ein, daß sechzehn Familienhäupter auf die Söhne Eleasars, und acht auf die Söhne Itamars kamen.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Und zwar teilte man sie durchs Los ein, die einen wie die andern, denn es gab sowohl unter den Söhnen Eleasars als auch unter den Söhnen Itamars «Fürsten des Heiligtums» und «Fürsten Gottes».
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Und Semaja, der Schreiber, der Sohn Nataneels, aus den Leviten, schrieb sie auf vor dem König und vor den Obersten und vor Zadok, dem Priester, und vor Achimelech, dem Sohn Abjatars, und vor den Familienhäuptern unter den Priestern und Leviten; je ein Vaterhaus ward ausgelost von Eleasar und je eines ward ausgelost von Itamar.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Und das erste Los fiel auf Jojarib, das zweite auf Jedaja,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 das dritte auf Harim, das vierte auf Seorim,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 das fünfte auf Malchija, das sechste auf Mijamin,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 das siebente auf Hakkoz, das achte auf Abija,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 das neunte auf Jesua, das zehnte auf Sechanja,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 das elfte auf Eljaschib, das zwölfte auf Jakim,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 das dreizehnte auf Huppa, das vierzehnte auf Jeschebab,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 das fünfzehnte auf Bilga, das sechzehnte auf Immer,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 das siebzehnte auf Hesir, das achtzehnte auf Happizaz.
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 Das neunzehnte auf Petachja, das zwanzigste auf Jecheskel,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 das einundzwanzigste auf Jachin, das zweiundzwanzigste auf Gamul,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 das dreiundzwanzigste auf Delaja, das vierundzwanzigste auf Maasja.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Das ist die Reihenfolge ihres Dienstes, nach welcher sie in das Haus des HERRN zu gehen haben nach ihrer Ordnung, [gegeben] durch ihren Vater Aaron, wie ihm der HERR, der Gott Israels, geboten hatte.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Aber betreffs der übrigen Söhne Levis war unter den Söhnen Amrams Schubael. Unter den Söhnen Schubaels war Jechdeja.
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Von Rechabja: Unter den Söhnen Rechabjas war Jischia das Oberhaupt.
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 Unter den Jizharitern war Selomot. Unter den Söhnen Selomots war Jachat.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Die Söhne [Hebrons] waren: Jeria, das Oberhaupt; Amarja, der zweite; Jahasiel, der dritte; Jekameam, der vierte.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Die Söhne Ussiels waren: Micha. Unter den Söhnen Michas war Samir.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Der Bruder Michas war Jischia. Unter den Söhnen Jischias war Sacharja.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Die Söhne Meraris waren: Machli und Muschi.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Die Söhne Jaasias: Beno, die Söhne Meraris von Jaasia waren: Beno, Soham, Sakkur und Ibri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Von Machli aber war Eleasar; und dieser hatte keine Söhne;
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 von Kis: unter den Söhnen des Kis war Jerachmeel.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Die Söhne Muschis waren: Machli, Eder und Jerimot. Das sind die Söhne der Leviten nach ihren Vaterhäusern.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Und auch sie warfen Lose gleich wie ihre Brüder, die Söhne Aarons, vor dem König David und vor Zadok und Achimelech und vor den Familienhäuptern der Priester und Leviten, und zwar die Familienhäupter ganz gleich wie ihre jüngeren Brüder.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.

< 1 Chronik 24 >