< Psalm 87 >
1 Von den Korahiten ein Psalm, ein Lied.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 lieb hat der HERR die Tore Zions mehr als alle (anderen) Wohnstätten Jakobs.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Herrliches ist von dir berichtet, du Gottesstadt. (SELA)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 »Ich nenne Ägypten und Babel als meine Bekenner, hier das Philisterland und Tyrus samt Äthiopien – nämlich wer dort seine Heimat hat.«
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Doch von Zion heißt es: »Mann für Mann hat dort seine Heimat, und er selbst, der Höchste, macht es stark.«
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Der HERR zählt, wenn er die Völker aufschreibt: »Dieser hat dort seine Heimat.« (SELA)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Sie aber tanzen den Reigen und singen: »Alle meine Quellen sind in dir (o Zion)!«
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”