< Psalm 8 >

1 Dem Musikmeister, nach der Keltertreterweise; ein Psalm von David. HERR, unser Herrscher, wie herrlich ist
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
2 Aus der Kinder und Säuglinge Mund hast du ein Bollwerk dir zugerichtet deinen Gegnern zum Trotz, um Feinde und Widersacher verstummen zu machen.
Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
3 Wenn ich anschau’ deinen Himmel, das Werk deiner Finger, den Mond und die Sterne, die du hergerichtet:
Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
4 was ist der Mensch, daß du seiner gedenkst, und der Menschensohn, daß du ihn beachtest?!
Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
5 Und doch hast du ihn nur wenig hinter die Gottheit gestellt, mit Herrlichkeit und Hoheit ihn gekrönt;
Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
6 du hast ihm die Herrschaft verliehn über deiner Hände Werke, ja alles ihm unter die Füße gelegt:
Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
7 Kleinvieh und Rinder allzumal, dazu auch die wilden Tiere des Feldes,
kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
8 die Vögel des Himmels, die Fische im Meer, alles, was die Pfade der Meere durchzieht.
ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
9 HERR, unser Herrscher, wie herrlich ist dein Name auf der ganzen Erde!
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!

< Psalm 8 >