< Psalm 46 >
1 Dem Musikmeister, von den Korahiten, im Bass-Stimmsatz, ein Lied. Gott ist uns Zuflucht und Stärke,
Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
2 Darum bangen wir nicht, wenngleich die Erde vergeht, wenn Berge mitten im Meer versinken;
Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
3 mögen tosen, mögen schäumen seine Wogen, mögen beben die Berge von seinem Ungestüm: der HERR der Heerscharen ist mit uns, ein’ feste Burg ist uns der Gott Jakobs! (SELA)
hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
4 Ein Strom ist da: seine Bäche erfreuen die Gottesstadt, das Heiligtum, die Wohnung des Höchsten.
Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 Gott ist in ihrer Mitte: sie wird nicht wanken, Gott schützt sie, schon wenn der Morgen tagt.
Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 Völker tobten, Königreiche wankten: er ließ seinen Donner dröhnen, da zerfloß die Erde.
Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7 Der HERR der Heerscharen ist mit uns, ein’ feste Burg ist uns der Gott Jakobs! (SELA)
Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
8 Kommt her und schauet die Taten des HERRN, der Wunderbares wirket auf Erden,
Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9 der den Kriegen ein Ziel setzt bis ans Ende der Erde, der Bogen zerbricht und Speere zerschlägt, Kriegswagen mit Feuer verbrennt!
Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10 »Laßt ab und erkennt, daß ich (nur) Gott bin, erhaben unter den Völkern, erhaben auf Erden!«
Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11 Der HERR der Heerscharen ist mit uns, ein’ feste Burg ist uns der Gott Jakobs! (SELA)
Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah