< Psalm 3 >
1 Ein Psalm Davids, als er vor seinem Sohne Absalom floh. Ach HERR, wie sind doch meine Bedränger so zahlreich,
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Gar viele sagen von mir: »Es gibt keine Rettung für ihn bei Gott!« (SELA)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 Doch du, o HERR, bist ein Schild um mich her, meine Ehre und der mir das Haupt erhebt.
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 Laut ruf’ ich zum HERRN, und er erhört mich von seinem heiligen Berge. (SELA)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 Ich legte mich nieder, schlief ruhig ein: erwacht bin ich wieder, denn der HERR stützt mich.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 Ich fürchte mich nicht vor vielen Tausenden Kriegsvolks, die rings um mich her sich gelagert haben.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Steh auf, o HERR! Hilf mir, mein Gott! Du hast ja all meinen Feinden Backenstreiche versetzt, den Gottlosen die Zähne zerschmettert.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 Beim HERRN steht die Hilfe: über deinem Volke walte dein Segen! (SELA)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.