< Psalm 124 >

1 Ein Wallfahrtslied von David. »Wäre der HERR nicht für uns gewesen«
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2 »wäre der HERR nicht für uns gewesen, als Menschen sich gegen uns erhoben:
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 dann hätten sie uns lebendig verschlungen, als ihr Zorn gegen uns entbrannt war;
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4 dann hätten die Wasser uns überflutet, ein Wildbach hätte sich über uns ergossen;
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5 dann wären über uns hingegangen die wildwogenden Fluten.«
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6 Gepriesen sei der HERR, der uns nicht ihren Zähnen zum Raub hat preisgegeben!
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7 Unsre Seele ist entschlüpft wie ein Vogel dem Netz der Vogelsteller: das Netz ist zerrissen, und wir sind frei geworden.
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8 Unsre Hilfe steht im Namen des HERRN, der Himmel und Erde geschaffen.
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.

< Psalm 124 >