< Nehemia 7 >
1 Als nun die Mauer aufgebaut war und ich die Türflügel hatte einsetzen lassen, wurden die Torwächter angestellt.
Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
2 Dann übertrug ich den Oberbefehl über Jerusalem meinem Bruder Hanani und dem Burghauptmann Hananja; denn dieser war ein zuverlässiger und gottesfürchtiger Mann wie wenige.
Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
3 Ich gab ihnen die Weisung: »Die Tore Jerusalems dürfen nicht eher geöffnet werden, als bis die Sonne heiß scheint; und während (die Torwächter) noch dastehen, soll man die Torflügel schließen und verriegeln. Auch sollt ihr Wachen aus den Bürgern Jerusalems aufstellen, einen jeden auf seinem Posten und jeden vor seinem Hause.«
Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
4 Die Stadt war nun zwar geräumig und groß, aber die Bevölkerung in ihr nur spärlich, und neugebaute Häuser waren nicht vorhanden.
Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
5 Da gab mein Gott mir den Gedanken ein, die Vornehmen und Vorsteher und das Volk zu versammeln, damit ein Geschlechtsverzeichnis von ihnen aufgenommen würde. Da fand ich das Geschlechtsverzeichnis derer, die zuerst (oder früher) aus der Gefangenschaft zurückgekehrt waren, und fand darin folgende Angaben:
Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
6 Folgendes sind die Bewohner des Bezirks, die aus der Gefangenschaft der in der Verbannung Lebenden, die Nebukadnezar, der König von Babylon, einst (nach Babylon) weggeführt hatte, hinaufgezogen und nach Jerusalem und Juda zurückgekehrt sind, ein jeder in seine Ortschaft,
Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
7 und zwar sind sie dorthin gekommen zusammen mit Serubbabel, Jesua, Nehemia, Asarja, Raamja, Nahamani, Mordechai, Bilsan, Mispereth, Bigwai, Nehum und Baana. Die Zahl der Männer des Volkes Israel betrug:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
8 die Familie Parhos 2172;
wazao wa Paroshi 2,172
9 die Familie Sephatja 372;
wazao wa Shefatia 372
11 die Familie Pahath-Moab, nämlich die Familien Jesua und Joab, 2818;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
12 die Familie Elam 1254;
wazao wa Elamu 1,254
13 die Familie Satthu 845;
wazao wa Zatu 845
14 die Familie Sakkai 760;
wazao wa Zakai 760
15 die Familie Binnui 648;
wazao wa Binui 648
16 die Familie Bebai 628;
wazao wa Bebai 628
17 die Familie Asgad 2322;
wazao wa Azgadi 2,322
18 die Familie Adonikam 667;
wazao wa Adonikamu 667
19 die Familie Bigwai 2067;
wazao wa Bigwai 2,067
21 die Familie Ater, nämlich der Zweig Hiskia, 98;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
22 die Familie Hasum 328;
wazao wa Hashumu 328
23 die Familie Bezai 324;
wazao wa Besai 324
24 die Familie Hariph 112;
wazao wa Harifu 112
25 die Familie Gibeon 95;
wazao wa Gibeoni 95
26 die Männer von Bethlehem und Netopha 188;
watu wa Bethlehemu na Netofa 188
27 die Männer von Anathoth 128;
watu wa Anathothi 128
28 die Männer von Beth-Asmaweth 42;
watu wa Beth-Azmawethi 42
29 die Männer von Kirjath-Jearim, Kephira und Beeroth 743;
watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
30 die Männer von Rama und Geba 621;
watu wa Rama na Geba 621
31 die Männer von Michmas 122;
watu wa Mikmashi 122
32 die Männer von Bethel und Ai 123;
watu wa Betheli na Ai 123
33 die Männer von [dem andern] Nebo 52;
watu wa Nebo 52
34 die Familie des andern Elam 1254;
wazao wa Elamu 1,254
35 die Familie Harim 320;
wazao wa Harimu 320
36 die Leute von Jericho 345;
wazao wa Yeriko 345
37 die Leute von Lod, Hadid und Ono 721;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
38 die Familie Senaa 3930.
wazao wa Senaa 3,930
39 Die Priester: die Familie Jedaja, nämlich des Hauses Jesua 973;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 die Familie Immer 1052;
wazao wa Imeri 1,052
41 die Familie Pashur 1247;
wazao wa Pashuri 1,247
42 die Familie Harim 1017.
wazao wa Harimu 1,017
43 Die Leviten: die Familie Jesua, nämlich die Familien Kadmiel, (Bani) und Hodawja 74; –
Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
44 die Sänger: die Familie Asaph 148; –
Waimbaji: wazao wa Asafu 148
45 die Torhüter: die Familien Sallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita und Sobai 138.
Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
46 Die Tempelhörigen: die Familie Ziha, die Familie Hasupha, die Familie Thabbaoth,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
47 die Familie Keros, die Familie Sia, die Familie Padon,
wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
48 die Familie Lebana, die Familie Hagaba, die Familie Salmai,
wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
49 die Familie Hanan, die Familie Giddel, die Familie Gahar,
wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
50 die Familie Reaja, die Familie Rezin, die Familie Nekoda,
wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
51 die Familie Gassam, die Familie Ussa, die Familie Paseah,
wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
52 die Familie Besai, die Familie der Mehuniter, die Familie der Nephisiter,
wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
53 die Familie Bakbuk, die Familie Hakupha, die Familie Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
54 die Familie Bazluth, die Familie Mehida, die Familie Harsa,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
55 die Familie Barkos, die Familie Sisera, die Familie Themah,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
56 die Familie Neziah, die Familie Hatipha. –
wazao wa Nesia na Hatifa.
57 Die Familien der Sklaven Salomos: die Familie Sotai, die Familie Sophereth, die Familie Perida,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
58 die Familie Jaala, die Familie Darkon, die Familie Giddel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
59 die Familie Sephatja, die Familie Hattil, die Familie Pochereth-Hazzebaim, die Familie Amon.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
60 Die Gesamtzahl der Tempelhörigen und der Familien der Sklaven Salomos betrug 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
61 Und dies sind die, welche aus Thel-Melah, Thel-Harsa, Cherub-Addon und Immer mit hinaufgezogen sind, aber ihre Familie und ihre Abkunft nicht nachweisen konnten, ob sie nämlich aus Israel stammten:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
62 die Familie Delaja, die Familie Tobija und die Familie Nekoda: 642.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
63 Sodann von den Priestern: die Familie Habaja, die Familie Hakkoz, die Familie jenes Barsillais, der eine Frau von den Töchtern des Gileaditen Barsillai geheiratet und deren Namen angenommen hatte.
Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
64 Diese hatten zwar nach einer Geschlechtsurkunde gesucht, aber eine solche hatte sich nicht finden lassen; infolgedessen wurden sie als unrein vom Priestertum ausgeschlossen;
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
65 und der Statthalter hatte ihnen erklärt, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis wieder ein Priester für die Befragung des Urim- und Thummim-Orakels da wäre.
Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
66 Die ganze Gemeinde insgesamt belief sich auf 42360 Seelen,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
67 ungerechnet ihre Sklaven und Sklavinnen, deren 7337 da waren; außerdem hatten sie noch 245 Sänger und Sängerinnen.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
68 Die Zahl ihrer Pferde betrug 736, ihrer Maultiere 245,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
69 ihrer Kamele 435 und ihrer Esel 6720.
ngamia 435 na punda 6,720.
70 Manche von den Familienhäuptern spendeten Beiträge für den Gottesdienst. Der Statthalter schenkte für den Schatz: an Gold 1000 Dariken, 50 Sprengschalen, 30 Priestergewänder.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
71 Von den Familienhäuptern gaben einige für den Gottesdienst: an Gold 20000 Dariken und an Silber 2200 Minen;
Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
72 und was das übrige Volk gab, betrug an Gold 20000 Dariken und an Silber 2000 Minen und 67 Priestergewänder.
Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
73 So siedelten sich denn die Priester und die Leviten sowie die Torhüter, die Sänger und die Tempelhörigen in Jerusalem und dessen Gebiet an, alle übrigen Israeliten dagegen in ihren Ortschaften. Als nun der siebte Monat herankam, während die Israeliten sich in ihren Ortschaften befanden,
Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,