< Esra 2 >

1 Folgendes nun sind die Bewohner der Landschaft Juda, die aus der Gefangenschaft der in der Verbannung Lebenden, welche Nebukadnezar, der König von Babylon, (einst) nach Babylon weggeführt hatte, hinaufgezogen sind und (nun) nach Jerusalem und Juda zurückkehrten, ein jeder in seine Ortschaft.
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 Sie sind dorthin gekommen zusammen mit Serubbabel, Jesua, Nehemia, Seraja, Reelaja, Mordochai, Bilsan, Mispar, Bigwai, Rehum und Baana. Die Zahl der Männer des Volkes Israel betrug:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 die Familie Parhos 2172;
Waporoshi: 2, 172
4 die Familie Sephatja 372;
Wana wa Shefatia: 372
5 die Familie Arah 775;
Wana wa Ara: 775.
6 die Familie Pahath-Moab, nämlich die Familien Jesua und Joab, 2812;
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 die Familie Elam 1254;
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 die Familie Satthu 945;
Wana wa Zatu: 945.
9 die Familie Sakkai 760;
Wana wa Zakai: 760.
10 die Familie Bani 642;
Wana wa Binui: 642.
11 die Familie Bebai 623;
Wana wa Bebai: 623.
12 die Familie Asgad 1222;
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 die Familie Adonikam 666;
Wana wa Adonikamu: 666.
14 die Familie Bigwai 2056;
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 die Familie Adin 454;
Wana wa Adini: 454.
16 die Familie Ater, nämlich der Zweig Hiskia, 98;
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 die Familie Bezai 323;
Wana wa Besai: 323.
18 die Familie Jora 112;
Wana wa Harifu: 112.
19 die Familie Hasum 223;
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 die Leute von Gibeon 95;
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 die Leute von Bethlehem 123;
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 die Männer von Netopha 56;
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 die Männer von Anathoth 128;
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 die Leute von Asmaweth 42;
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 die Leute von Kirjath-Arim, Kephira und Beeroth 743;
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 die Leute von Rama und Geba 621;
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 die Männer von Michmas 122;
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 die Männer von Bethel und Ai 223;
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 die Familie Nebo 52;
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 die Familie Magbis 156;
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 die Familie des andern Elam 1254;
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 die Familie Harim 320;
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 die Leute von Lod, Hadid und Ono 725;
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 die Leute von Jericho 345;
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 die Familie Senaa 3630.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 Die Priester: die Familie Jedaja, nämlich das Haus Jesua 973;
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 die Familie Immer 1052;
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 die Familie Pashur 1247;
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 die Familie Harim 1017.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 Die Leviten: die Familien Jesua und Kadmiel, Binnui und Hodawja 74; –
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 die Sänger: die Familie Asaph 128; –
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 die Familien der Torhüter: die Familien Sallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita und Sobai, im ganzen 139.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 Die Tempelhörigen: die Familie Ziha, die Familie Hasupha, die Familie Tabbaoth,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 die Familie Keros, die Familie Siaha, die Familie Padon,
Keros, Siaha, Padoni.
45 die Familie Lebana, die Familie Hagaba, die Familie Akkub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 die Familie Hagab, die Familie Salmai, die Familie Hanan,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 die Familie Giddel, die Familie Gahar, die Familie Reaja,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 die Familie Rezin, die Familie Nekoda, die Familie Gassam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 die Familie Ussa, die Familie Paseah, die Familie Besai,
Uza, Pasea, Besai,
50 die Familie Asna, die Familie der Mehuniter, die Familie der Nephisiter,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 die Familie Bakbuk, die Familie Hakupha, die Familie Harhur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 die Familie Bazluth, die Familie Mehida, die Familie Harsa,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 die Familie Barkos, die Familie Sisera, die Familie Themah,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 die Familie Neziah, die Familie Hatipha.
Nesia, Tefa
55 Die Söhne der Sklaven Salomos: die Familie Sotai, die Familie Sophereth, die Familie Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 die Familie Jaala, die Familie Darkon, die Familie Giddel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 die Familie Sephatja, die Familie Hattil, die Familie Pochereth-Hazzebaim, die Familie Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 Die Gesamtzahl der Tempelhörigen und der Nachkommen der Sklaven Salomos betrug 392.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 Und dies sind die, welche aus Thel-Melah, Thel-Harsa, Cherub-Addan und Immer mit hinaufzogen, aber ihre Familie und ihre Herkunft nicht nachweisen konnten, ob sie nämlich aus Israel stammten:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 die Familie Delaja, die Familie Tobija, die Familie Nekoda, 652. –
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Sodann von den Priesterfamilien: die Familie Habaja, die Familie Hakkoz, die Familie jenes Barsillais, der eine Frau von den Töchtern des Gileaditen Barsillai geheiratet und deren Namen angenommen hatte.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 Diese hatten zwar nach ihrer Geschlechtsurkunde gesucht, aber diese hatte sich nicht finden lassen; infolgedessen wurden sie als unrein vom Priestertum ausgeschlossen,
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 und der Statthalter hatte ihnen erklärt, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis wieder ein Priester für die Befragung des Urim- und Thummimorakels da wäre.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 Die ganze Gemeinde insgesamt belief sich auf 42360 Seelen,
Jumla ya kundi 42, 360,
65 ungerechnet ihre Sklaven und Sklavinnen, deren 7337 da waren. Dazu kamen noch 200 Sänger und Sängerinnen. –
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Die Zahl ihrer Pferde betrug 736, ihrer Maultiere 245,
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 ihrer Kamele 435, der Esel 6720.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 Als sie dann beim Tempel des HERRN in Jerusalem angekommen waren, spendeten einige von den Familienhäuptern freiwillige Gaben für das Haus Gottes, damit man es an seiner früheren Stätte wieder aufrichten könne.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 Nach ihrem Vermögen gaben sie für den Bauschatz: an Gold 61000 Dariken, an Silber 5000 Minen und 100 Priestergewänder.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 Und es siedelten sich die Priester und die Leviten sowie ein Teil des Volkes in Jerusalem und dessen Gebieten an, die Sänger dagegen und die Torhüter und die Tempelhörigen in ihren Ortschaften, und alle übrigen Israeliten in ihren Ortschaften.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.

< Esra 2 >