< Esra 2 >
1 Folgendes nun sind die Bewohner der Landschaft Juda, die aus der Gefangenschaft der in der Verbannung Lebenden, welche Nebukadnezar, der König von Babylon, (einst) nach Babylon weggeführt hatte, hinaufgezogen sind und (nun) nach Jerusalem und Juda zurückkehrten, ein jeder in seine Ortschaft.
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 Sie sind dorthin gekommen zusammen mit Serubbabel, Jesua, Nehemia, Seraja, Reelaja, Mordochai, Bilsan, Mispar, Bigwai, Rehum und Baana. Die Zahl der Männer des Volkes Israel betrug:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 die Familie Parhos 2172;
wazao wa Paroshi 2,172
4 die Familie Sephatja 372;
wazao wa Shefatia 372
6 die Familie Pahath-Moab, nämlich die Familien Jesua und Joab, 2812;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
8 die Familie Satthu 945;
wazao wa Zatu 945
9 die Familie Sakkai 760;
wazao wa Zakai 760
11 die Familie Bebai 623;
wazao wa Bebai 623
12 die Familie Asgad 1222;
wazao wa Azgadi 1,222
13 die Familie Adonikam 666;
wazao wa Adonikamu 666
14 die Familie Bigwai 2056;
wazao wa Bigwai 2,056
16 die Familie Ater, nämlich der Zweig Hiskia, 98;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 die Familie Bezai 323;
wazao wa Besai 323
19 die Familie Hasum 223;
wazao wa Hashumu 223
20 die Leute von Gibeon 95;
wazao wa Gibari 95
21 die Leute von Bethlehem 123;
watu wa Bethlehemu 123
22 die Männer von Netopha 56;
watu wa Netofa 56
23 die Männer von Anathoth 128;
watu wa Anathothi 128
24 die Leute von Asmaweth 42;
watu wa Azmawethi 42
25 die Leute von Kirjath-Arim, Kephira und Beeroth 743;
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 die Leute von Rama und Geba 621;
wazao wa Rama na Geba 621
27 die Männer von Michmas 122;
watu wa Mikmashi 122
28 die Männer von Bethel und Ai 223;
watu wa Betheli na Ai 223
30 die Familie Magbis 156;
wazao wa Magbishi 156
31 die Familie des andern Elam 1254;
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 die Familie Harim 320;
wazao wa Harimu 320
33 die Leute von Lod, Hadid und Ono 725;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 die Leute von Jericho 345;
wazao wa Yeriko 345
35 die Familie Senaa 3630.
wazao wa Senaa 3,630
36 Die Priester: die Familie Jedaja, nämlich das Haus Jesua 973;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 die Familie Immer 1052;
wazao wa Imeri 1,052
38 die Familie Pashur 1247;
wazao wa Pashuri 1,247
39 die Familie Harim 1017.
wazao wa Harimu 1,017
40 Die Leviten: die Familien Jesua und Kadmiel, Binnui und Hodawja 74; –
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 die Sänger: die Familie Asaph 128; –
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 die Familien der Torhüter: die Familien Sallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita und Sobai, im ganzen 139.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 Die Tempelhörigen: die Familie Ziha, die Familie Hasupha, die Familie Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 die Familie Keros, die Familie Siaha, die Familie Padon,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 die Familie Lebana, die Familie Hagaba, die Familie Akkub,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 die Familie Hagab, die Familie Salmai, die Familie Hanan,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 die Familie Giddel, die Familie Gahar, die Familie Reaja,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 die Familie Rezin, die Familie Nekoda, die Familie Gassam,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 die Familie Ussa, die Familie Paseah, die Familie Besai,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 die Familie Asna, die Familie der Mehuniter, die Familie der Nephisiter,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 die Familie Bakbuk, die Familie Hakupha, die Familie Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 die Familie Bazluth, die Familie Mehida, die Familie Harsa,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 die Familie Barkos, die Familie Sisera, die Familie Themah,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 die Familie Neziah, die Familie Hatipha.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 Die Söhne der Sklaven Salomos: die Familie Sotai, die Familie Sophereth, die Familie Peruda,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 die Familie Jaala, die Familie Darkon, die Familie Giddel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 die Familie Sephatja, die Familie Hattil, die Familie Pochereth-Hazzebaim, die Familie Ami.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 Die Gesamtzahl der Tempelhörigen und der Nachkommen der Sklaven Salomos betrug 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 Und dies sind die, welche aus Thel-Melah, Thel-Harsa, Cherub-Addan und Immer mit hinaufzogen, aber ihre Familie und ihre Herkunft nicht nachweisen konnten, ob sie nämlich aus Israel stammten:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 die Familie Delaja, die Familie Tobija, die Familie Nekoda, 652. –
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 Sodann von den Priesterfamilien: die Familie Habaja, die Familie Hakkoz, die Familie jenes Barsillais, der eine Frau von den Töchtern des Gileaditen Barsillai geheiratet und deren Namen angenommen hatte.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 Diese hatten zwar nach ihrer Geschlechtsurkunde gesucht, aber diese hatte sich nicht finden lassen; infolgedessen wurden sie als unrein vom Priestertum ausgeschlossen,
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 und der Statthalter hatte ihnen erklärt, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis wieder ein Priester für die Befragung des Urim- und Thummimorakels da wäre.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 Die ganze Gemeinde insgesamt belief sich auf 42360 Seelen,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 ungerechnet ihre Sklaven und Sklavinnen, deren 7337 da waren. Dazu kamen noch 200 Sänger und Sängerinnen. –
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Die Zahl ihrer Pferde betrug 736, ihrer Maultiere 245,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 ihrer Kamele 435, der Esel 6720.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 Als sie dann beim Tempel des HERRN in Jerusalem angekommen waren, spendeten einige von den Familienhäuptern freiwillige Gaben für das Haus Gottes, damit man es an seiner früheren Stätte wieder aufrichten könne.
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 Nach ihrem Vermögen gaben sie für den Bauschatz: an Gold 61000 Dariken, an Silber 5000 Minen und 100 Priestergewänder.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 Und es siedelten sich die Priester und die Leviten sowie ein Teil des Volkes in Jerusalem und dessen Gebieten an, die Sänger dagegen und die Torhüter und die Tempelhörigen in ihren Ortschaften, und alle übrigen Israeliten in ihren Ortschaften.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.