< Psalm 85 >

1 Ein Psalm der Kinder Korah, vorzusingen. HERR, der du bist vormals gnädig gewesen deinem Lande und hast die Gefangenen Jakobs erlöset;
Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
2 der du die Missetat vormals vergeben hast deinem Volk und alle ihre Sünde bedecket, (Sela)
Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
3 der du vormals hast all deinen Zorn aufgehoben und dich gewendet von dem Grimm deines Zorns;
Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
4 tröste uns, Gott, unser Heiland, und laß ab von deiner Ungnade über uns!
Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
5 Willst du denn ewiglich über uns zürnen und deinen Zorn gehen lassen immer für und für?
Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
6 Willst du uns denn nicht wieder erquicken, daß sich dein Volk über dir freuen möge?
Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
7 HERR, erzeige uns deine Gnade und hilf uns!
Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
8 Ach, daß ich hören sollte, das Gott der HERR redet, daß er Frieden zusagte seinem Volk und seinen Heiligen, auf daß sie nicht auf eine Torheit geraten!
Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
9 Doch ist ja seine Hilfe nahe denen, die ihn fürchten, daß in unserm Lande Ehre wohne;
Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
10 daß Güte und Treue einander begegnen, Gerechtigkeit und Friede sich küssen;
Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
11 daß Treue auf der Erde wachse, und Gerechtigkeit vom Himmel schaue;
Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
12 daß uns auch der HERR Gutes tue, damit unser Land sein Gewächs gebe;
Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.

< Psalm 85 >