< Psalm 83 >

1 Ein Psalmlied Assaphs. Gott, schweige doch nicht also und sei doch nicht so stille; Gott, halte doch nicht so inne!
Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
2 Denn siehe, deine Feinde toben, und die dich hassen, richten den Kopf auf.
Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
3 Sie machen listige Anschläge wider dein Volk und ratschlagen wider deine Verborgenen.
Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
4 Wohl her! sprechen sie, laßt uns sie ausrotten, daß sie kein Volk seien, daß des Namens Israel nicht mehr gedacht werde!
“Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
5 Denn sie haben sich miteinander vereiniget und einen Bund wider dich gemacht:
Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
6 die Hütten der Edomiter und Ismaeliter, der Moabiter und Hagariter,
Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
7 der Gebaliter, Ammoniter und Amalekiter, die Philister, samt denen zu Tyrus;
Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
8 Assur hat sich auch zu ihnen geschlagen und helfen den Kindern Lot. (Sela)
Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
9 Tu ihnen wie den Midianitern, wie Sissera, wie Jabin am Bach Kison,
Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
10 die vertilget wurden bei Endor und wurden zu Kot auf Erden.
Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
11 Mache ihre Fürsten wie Oreb und Seeb, alle ihre Obersten wie Sebah und Zalmuna,
Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
12 die da sagen: Wir wollen die Häuser Gottes einnehmen.
Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
13 Gott, mache sie wie einen Wirbel, wie Stoppeln vor dem Winde!
Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
14 Wie ein Feuer den Wald verbrennet, und wie eine Flamme, die Berge anzündet,
Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
15 also verfolge sie mit deinem Wetter und erschrecke sie mit deinem Ungewitter.
Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16 Mache ihr Angesicht voll Schande, daß sie nach deinem Namen fragen müssen.
Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
17 Schämen müssen sie sich und erschrecken immer mehr und mehr und zuschanden werden und umkommen.
Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.

< Psalm 83 >