< Psalm 30 >
1 Ein Psalm, zu singen von der Einweihung des Hauses Davids. Ich preise dich, HERR, denn du hast mich erhöhet und lässest meine Feinde sich nicht über mich freuen.
Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi. Nitakutukuza wewe, Ee Bwana, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu.
2 HERR, mein Gott, da ich schrie zu dir, machtest du mich gesund.
Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
3 HERR, du hast meine Seele aus der Hölle geführet; du hast mich lebendig behalten, da die in die Hölle fuhren. (Sheol )
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol )
4 Ihr Heiligen, lobsinget dem HERRN; danket und preiset seine Heiligkeit!
Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu.
5 Denn sein Zorn währet einen Augenblick, und er hat Lust zum Leben; den Abend lang währet das Weinen, aber des Morgens die Freude.
Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi, bali upendo wake hudumu siku zote. Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.
6 Ich aber sprach, da mir's wohl ging: Ich werde nimmermehr daniederliegen.
Nilipofanikiwa nilisema, “Sitatikiswa kamwe.”
7 Denn, HERR, durch dein Wohlgefallen hast du meinen Berg stark gemacht. Aber da du dein Antlitz verbargest, erschrak ich.
Ee Bwana, uliponijalia, uliuimarisha mlima wangu, lakini ulipouficha uso wako nilifadhaika.
8 Ich will, HERR, rufen zu dir; dem HERRN will ich flehen.
Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
9 Was ist nütze an meinem Blut, wenn ich tot bin? Wird dir auch der Staub danken und deine Treue verkündigen?
“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
10 HERR, höre und sei mir gnädig; HERR, sei mein Helfer!
Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
11 Du hast mir meine Klage verwandelt in einen Reigen; du hast meinen Sack ausgezogen und mich mit Freuden gegürtet,
Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza, ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,
ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya. Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele.