< 1 Chronik 8 >
1 Benjamin aber zeugete Bela, seinen ersten Sohn, Asbal den andern, Ahrah den dritten,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Noha den vierten, Rapha den fünften.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Und Bela hatte Kinder: Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
5 Gera, Sephuphan und Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Dies sind die Kinder Ehuds, die da Häupter waren der Väter unter den Bürgern zu Geba und zogen weg gen Manahath:
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 nämlich Naeman, Ahia und Gera, derselbe führete sie weg; und er zeugete Usa und Ahihud.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Und Saharaim zeugete im Lande Moab (da er jene von sich gelassen hatte) von Husim und Baera, seinen Weibern.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 Und er zeugete von Hodes, seinem Weibe: Jobab, Zibja, Mesa, Malcham,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Sachja und Mirma. Das sind seine Kinder, Häupter der Väter.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Von Husim aber zeugete er Abitob und Elpaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Die Kinder aber Elpaals waren: Eber, Miseam und Samed. Derselbe bauete Ono und Lod und ihre Töchter.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Und Bria und Sama waren Häupter der Väter unter den Bürgern zu Ajalon; sie verjagten die zu Gath.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Ahjo aber, Sasak, Jeremoth,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
16 Michael, Jespa und Joha; das sind Kinder Brias.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Jesmerai, Jeslia, Jobab; das sind Kinder Elpaals.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
20 Elioenai, Zilthai, Eliel,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaja, Braja und Simrath; das sind die Kinder Simeis.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
24 Hananja, Elam, Anthothja,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Jephdeja und Pnuel; das sind die Kinder Sasaks.
Ifdeya na Penueli.
26 Samserai, Seharja, Athalja,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Jaeresja, Elia und Sichri; das sind Kinder Jerohams.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Das sind die Häupter der Väter ihrer Geschlechter, die wohneten zu Jerusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Aber zu Gibeon wohnete der Vater Gibeons; und sein Weib hieß Maecha.
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Und sein erster Sohn war Abdon, Zur, Kis, Baal, Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Ahjo und Secher.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Mikloth aber zeugete Simea; und sie wohneten gegen ihren Brüdern zu Jerusalem mit ihnen.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Ner zeugete Kis. Kis zeugete Saul. Saul zeugete Jonathan, Malchisua, Abinadab und Esbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Der Sohn aber Jonathans war Meribaal. Meribaal zeugete Micha.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Die Kinder Michas waren: Pithon, Melech, Thaerea und Ahas.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ahas aber zeugete Joadda. Joadda zeugete Alemeth, Asmaveth und Simri. Simri zeugete Moza.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Moza zeugete Binea; des Sohn war Rapha; des Sohn war Eleasa; des Sohn war Azel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Azel aber hatte sechs Söhne, die hießen: Esrikam, Bochru, Jesmael, Searja, Obadja, Hanan. Die waren alle Söhne Azels.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Die Kinder Eseks, seines Bruders, waren: Ulam, sein erster Sohn, Jeus der andere, Eliphelet der dritte.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Die Kinder aber Ulams waren gewaltige Leute und geschickt mit Bogen; und hatten viele Söhne und Sohnes Söhne, hundertundfünfzig. Die sind alle von den Kindern Benjamins.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.