< Job 23 >
1 Hiob antwortete und sprach:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Auch heute empört sich meine Klage; seine Hand drückt schwer auf mein Seufzen.
“Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
3 O daß ich ihn zu finden wüßte, gelangen könnte bis zu seinem Richterstuhl!
Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
4 So wollte ich vor ihm meine Sache darlegen und meinen Mund mit Beweisen füllen.
Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
5 Ich möchte wissen, was er mir erwidern würde, und erfahren, was er zu mir sagen würde!
Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
6 Würde er in der Fülle der Macht mit mir streiten? Nein, nur achten würde er auf mich!
Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
7 Dann würde ein Redlicher mit ihm rechten, und für immer machte ich mich von meinem Richter frei!
Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
8 Doch - gehe ich ostwärts, so ist er nicht da, und westwärts - so gewahre ich ihn nicht.
Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
9 Im Norden schafft er, aber ich sehe ihn nicht, biegt ab gen Süden - aber ich erblicke ihn nicht.
Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
10 Denn er weiß, welchen Wandel ich geführt - prüfte er mich, wie Gold würde ich hervorgehn.
Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
11 An seiner Spur hat fest mein Fuß gehalten, seinen Weg hab' ich verfolgt, ohne abzuweichen.
Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
12 Von seiner Lippen Vorschrift wich ich nie, barg in meiner Brust die Worte seines Munds.
Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
13 Er aber bleibt sich gleich - wer will ihm wehren? Sein Wille begehrt's, da führt er's aus!
Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
14 Ja, er wird zu Ende führen, was er mir bestimmt hat, und solcherlei hat er noch vieles im Sinn.
Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
15 Darum erschrecke ich vor seinem Angesicht; überdenke ich's, so erbebe ich vor ihm.
Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
16 Ja, Gott hat meinen Mut gebrochen und der Allmächtige hat mich mit Schrecken erfüllt.
Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
17 Denn nicht des Unglücks wegen fühle ich mich vernichtet, noch wegen meiner Person, die Dunkel bedeckt hat.
Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.