< Psalm 48 >

1 Ein Gesang, ein Lied, von den Korachiten. Der Herr ist groß und hochzupreisen ob unserer Gottesstadt, ob seines heiligen Berges,
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 der herrlich sich erhebt, der ganzen Erde Wonne, der Berg von Sion, der im Norden der Stadt des großen Königs.
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 In ihren Burgen hat sich Gott als Schutzwehr kundgetan.
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Versammelt haben sich die Könige, sind allzumal herangezogen.
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 Sie sind erstarrt, kaum daß sie es gesehen, und sind bestürzt entflohen,
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Von Schrecken dort erfaßt, von Angst, gleich der in Kindesnöten,
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 wie wenn der Ostwind Tarsisschiffe stranden läßt.
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Was vormals wir gehört, das haben wir geschaut jetzt an der Stadt des Herrn der Heeresscharen, unserer Gottesstadt. Gott läßt sie ewiglich bestehen. (Sela)
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 Wir haben Deine Gnade, Gott, empfangen hier in Deinem Heiligtum.
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 Gleich Deinem Himmel, Gott, erstreckt sich Deine Herrlichkeit bis an der Erde Ende. Voll von Gerechtigkeit ist Deine Rechte.
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 Der Sionsberg ist voller Freude, und Judas Töchter jubeln über Deine Strafgerichte. -
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 Umgeht, umwandert Sion! Und zählet seine Türme!
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 Betrachtet seinen Wall! Durchmustert seine Burgen, daß ihr's dem künftigen Geschlecht verkünden könnt,
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 daß Gott es ist, in alle Ewigkeiten unser Gott, der selbst uns leitet für und für!
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.

< Psalm 48 >