< Psalm 113 >
1 Lobet Jehova! Lobet, ihr Knechte Jehovas, lobet den Namen Jehovas!
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Gepriesen sei der Name Jehovas von nun an bis in Ewigkeit!
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 Vom Aufgang der Sonne bis zu ihrem Niedergang sei gelobt der Name Jehovas!
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 Hoch über alle Nationen ist Jehova, über die Himmel seine Herrlichkeit.
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 Wer ist wie Jehova, unser Gott, der hoch oben thront;
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 der sich herabneigt, um auf die Himmel und auf die Erde zu schauen?
atazamaye chini angani na duniani?
7 Der aus dem Staube emporhebt den Geringen, aus dem Kote erhöht den Armen,
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 um ihn sitzen zu lassen bei den Edlen, bei den Edlen seines Volkes.
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Der die Unfruchtbare des Hauses wohnen läßt als eine fröhliche Mutter von Söhnen. Lobet Jehova!
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!