< Sprueche 9 >
1 Die Weisheit hat ihr Haus gebaut, hat ihre sieben Säulen ausgehauen;
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
2 sie hat ihr Schlachtvieh geschlachtet, ihren Wein gemischt, auch ihren Tisch gedeckt;
Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
3 sie hat ihre Mägde ausgesandt, ladet ein auf den Höhen der Stadt:
Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
4 “Wer ist einfältig? Er wende sich hierher!” Zu den Unverständigen spricht sie:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5 “Kommet, esset von meinem Brote, und trinket von dem Weine, den ich gemischt habe!
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6 Lasset ab von der Einfältigkeit und lebet, und schreitet einher auf dem Wege des Verstandes!” -
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Wer den Spötter zurechtweist, zieht sich Schande zu; und wer den Gesetzlosen straft, sein Schandfleck ist es.
“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
8 Strafe den Spötter nicht, daß er dich nicht hasse; strafe den Weisen, und er wird dich lieben.
Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
9 Gib dem Weisen, so wird er noch weiser; belehre den Gerechten, so wird er an Kenntnis zunehmen. -
Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
10 Die Furcht Jehovas ist der Weisheit Anfang; und die Erkenntnis des Heiligen ist Verstand.
“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
11 Denn durch mich werden deine Tage sich mehren, und Jahre des Lebens werden dir hinzugefügt werden.
Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
12 Wenn du weise bist, so bist du weise für dich; und spottest du, so wirst du allein es tragen.
Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
13 Frau Torheit ist leidenschaftlich; sie ist lauter Einfältigkeit und weiß gar nichts.
Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
14 Und sie sitzt am Eingang ihres Hauses, auf einem Sitze an hochgelegenen Stellen der Stadt,
Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
15 um einzuladen, die des Weges vorübergehen, die ihre Pfade gerade halten:
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16 “Wer ist einfältig? Er wende sich hierher!” Und zu dem Unverständigen spricht sie:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17 “Gestohlene Wasser sind süß, und heimliches Brot ist lieblich”.
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
18 Und er weiß nicht, daß dort die Schatten sind, in den Tiefen des Scheols ihre Geladenen. (Sheol )
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )