< Esra 2 >
1 Und dies sind die Kinder der Landschaft Juda, welche aus der Gefangenschaft der Weggeführten, die Nebukadnezar, der König von Babel, nach Babel weggeführt hatte, hinaufzogen, und die nach Jerusalem und Juda zurückkehrten, ein jeder in seine Stadt,
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 welche kamen mit Serubbabel, Jeschua, Nehemia, Seraja, Reelaja, Mordokai, Bilschan, Mispar, Bigwai, Rechum, Baana. Zahl der Männer des Volkes Israel:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 Die Söhne Parhosch', zweitausend einhundertzweiundsiebzig.
Waporoshi: 2, 172
4 Die Söhne Schephatjas, dreihundertzweiundsiebzig;
Wana wa Shefatia: 372
5 die Söhne Arachs, siebenhundertfünfundsiebzig;
Wana wa Ara: 775.
6 die Söhne Pachath-Moabs, von den Söhnen Jeschuas und Joabs, zweitausend achthundertzwölf;
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 die Söhne Elams, tausend zweihundertvierundfünfzig;
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 die Söhne Sattus, neunhundertfünfundvierzig;
Wana wa Zatu: 945.
9 die Söhne Sakkais, siebenhundertsechzig;
Wana wa Zakai: 760.
10 die Söhne Banis, sechshundertzweiundvierzig;
Wana wa Binui: 642.
11 die Söhne Bebais, sechshundertdreiundzwanzig;
Wana wa Bebai: 623.
12 die Söhne Asgads, tausend zweihundertzweiundzwanzig;
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 die Söhne Adonikams, sechshundertsechsundsechzig;
Wana wa Adonikamu: 666.
14 die Söhne Bigwais, zweitausend sechsundfünfzig;
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 die Söhne Adins, vierhundertvierundfünfzig;
Wana wa Adini: 454.
16 die Söhne Aters, von Jehiskia, achtundneunzig;
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 die Söhne Bezais, dreihundertdreiundzwanzig;
Wana wa Besai: 323.
18 die Söhne Jorahs, hundertzwölf;
Wana wa Harifu: 112.
19 die Söhne Haschums, zweihundertdreiundzwanzig;
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 die Söhne Gibbars, fünfundneunzig;
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 die Söhne Bethlehems, hundertdreiundzwanzig;
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 die Männer von Netopha, sechsundfünfzig;
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 die Männer von Anathoth, hundertachtundzwanzig;
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 die Söhne Asmaweths, zweiundvierzig;
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 die Söhne Kirjath-Arims, Kephiras und Beeroths, siebenhundertdreiundvierzig;
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 die Söhne Ramas und Gebas, sechshunderteinundzwanzig;
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 die Männer von Mikmas, hundertzweiundzwanzig;
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 die Männer von Bethel und Ai, zweihundertdreiundzwanzig;
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 die Söhne Nebos, zweiundfünfzig;
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 die Söhne Magbisch', hundertsechsundfünfzig;
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 die Söhne des anderen Elam, tausend zweihundertvierundfünfzig;
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 die Söhne Harims, dreihundertzwanzig;
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 die Söhne Lods, Hadids und Onos, siebenhundertfünfundzwanzig;
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 die Söhne Jerechos, dreihundertfünfundvierzig;
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 die Söhne Senaas, dreitausend sechshundertdreißig.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 Die Priester: die Söhne Jedajas, vom Hause Jeschua, neunhundertdreiundsiebzig;
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 die Söhne Immers, tausend zweiundfünfzig;
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 die Söhne Paschchurs, tausend zweihundertsiebenundvierzig;
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 die Söhne Harims, tausend und siebzehn.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 Die Leviten: die Söhne Jeschuas und Kadmiels, von den Söhnen Hodawjas, vierundsiebzig. -
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 Die Sänger: die Söhne Asaphs, hundertachtundzwanzig. -
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 Die Söhne der Torhüter: die Söhne Schallums, die Söhne Aters, die Söhne Talmons, die Söhne Akkubs, die Söhne Hatitas, die Söhne Schobais, allesamt hundertneununddreißig.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 Die Nethinim: die Söhne Zichas, die Söhne Hasuphas, die Söhne Tabbaoths,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 die Söhne Keros', die Söhne Siahas, die Söhne Padons,
Keros, Siaha, Padoni.
45 die Söhne Lebanas, die Söhne Hagabas, die Söhne Akkubs,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 die Söhne Hagabs, die Söhne Schalmais, die Söhne Hanans,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 die Söhne Giddels, die Söhne Gachars, die Söhne Reajas,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 die Söhne Rezins, die Söhne Nekodas, die Söhne Gassams,
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 die Söhne Ussas, die Söhne Paseachs, die Söhne Besais,
Uza, Pasea, Besai,
50 die Söhne Asnas, die Söhne der Meunim, die Söhne der Nephisim,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 die Söhne Bakbuks, die Söhne Hakuphas, die Söhne Harchurs,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 die Söhne Bazluths, die Söhne Mechidas, die Söhne Harschas,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 die Söhne Barkos', die Söhne Siseras, die Söhne Tamachs,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 die Söhne Neziachs, die Söhne Hatiphas.
Nesia, Tefa
55 Die Söhne der Knechte Salomos: die Söhne Sotais, die Söhne Sophereths, die Söhne Perudas,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 die Söhne Jaalas, die Söhne Darkons, die Söhne Giddels,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 die Söhne Schephatjas, die Söhne Hattils, die Söhne Pokereths-Hazzebaim, die Söhne Amis.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 Alle Nethinim und Söhne der Knechte Salomos: dreihundertzweiundneunzig.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 Und diese sind es, die aus Tel-Melach, Tel-Harscha, Kerub, Addan, Immer hinaufzogen; aber sie konnten ihr Vaterhaus und ihre Abkunft nicht angeben, ob sie aus Israel wären:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 die Söhne Delajas, die Söhne Tobijas, die Söhne Nekodas, sechshundertzweiundfünfzig.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Und von den Söhnen der Priester: die Söhne Habajas, die Söhne Hakkoz', die Söhne Barsillais, der ein Weib von den Töchtern Barsillais, des Gileaditers, genommen hatte und nach ihrem Namen genannt wurde.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 Diese suchten ihr Geschlechtsregisterverzeichnis, aber es wurde nicht gefunden; und sie wurden von dem Priestertum als unrein ausgeschlossen.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 Und der Tirsatha sprach zu ihnen, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis ein Priester für die Urim und die Thummim aufstände.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 Die ganze Versammlung insgesamt war zweiundvierzigtausend dreihundertsechzig,
Jumla ya kundi 42, 360,
65 außer ihren Knechten und ihren Mägden; dieser waren siebentausend dreihundertsiebenunddreißig. Und sie hatten noch zweihundert Sänger und Sängerinnen.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Ihrer Rosse waren siebenhundertsechsunddreißig, ihrer Maultiere zweihundertfünfundvierzig,
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 ihrer Kamele vierhundertfünfunddreißig, der Esel sechstausend siebenhundertzwanzig.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 Und als sie zum Hause Jehovas in Jerusalem kamen, gaben einige von den Häuptern der Väter freiwillig für das Haus Gottes, um es an seiner Stätte aufzurichten.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 Nach ihrem Vermögen gaben sie für den Schatz des Werkes: an Gold einundsechzigtausend Dariken und an Silber fünftausend Minen, und hundert Priesterleibröcke.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 Und die Priester und die Leviten und die aus dem Volke und die Sänger und die Torhüter und die Nethinim wohnten in ihren Städten; und ganz Israel wohnte in seinen Städten.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.