< Maatosa 11 >
1 Yesusay bena kaliza tamane nam7u asatas azazo immi wursidappe guye tamarsanasne sabakanas Galilan diza katamta bidess.
Ikawa baada ya Yesu kumaliza kuwaelekeza wanafunzi wake kumi na wawili aliondoka plae kwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao,
2 Yanisay qasho kethan dishe kirstosay othiza hanota siyidi bena kalizayta izakko yedidi ass ashizadey yana getetiday nene ye hara nagino gidi oychidess.
na Yohana akiwa gereszani aliposikia akiwa juu ya matendo ya Kristo, alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake,
na wakamuuliza, “Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?”
4 Yesusaykka zaridi “biidi inte sidaysane inte beyidaysa Yanisas yotite.
Yesu akajibu na kusema kwao “Nendeni mkamtaarifu Yohana yale mnayoyaona na yale mnayoyasikia.
5 Qoqeti xeletess wobeti hamutetes inchracha hargizayti geyetes tuuleti siyetes hayqidayti hayqoppe paxi dendetes manqotas mishracho qalay yotetes.
Watu wasioona wanapata kuona, viwete wanatembea, wakoma wanatakaswa, watu wasiosikia wanasikia tena, watu waliokufa wanafufuliwa kupata uhai, na watu wahitaji wanahubiriwa habari njema.
6 Tanan dhuphetontadey anjetidade.
Na amebarikiwa yule asiyeona shaka juu yangu.
7 Yanisa kalizayti bidappe guye Yesusay asas Yanisa gish hizgidess “azi beyanas duge bazo bideti carkoy qathiza shombaqo beyanas yideti?
Pindi watu hawa walipoondoka, Yesu alianza kusema na umati juu ya Yohana, “Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?
8 Woykko az beyanas kezideti? Lo7o mayo mayidi lo7i utidade beyana yideti? Lo7o mayo mayidi lo7izayti kawota kethan deteess.
Lakini nini mlikwenda kuona mtu aliyevaa mavazi mololo? Hakika, wale wavaao mavazi mololo hukaa katika nyumba za wafalme.
9 Histin az beyana kezideti? nabe beyana kezideti? Ee ta intes gays nabeppe adhizaysa beyanasa.
Lakini mliondoka kuona nini-Nabii? Ndiyo, nawaambia, na zaidi ya Nabii.
10 “Ne bana ogee neess gigisanade neppe sinthara kalethada ta ness kitana getetidi iza gish kasse xafetida uray izakko” gidees.
Huyu ndiye aliyeandikiwa, 'Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye ataandaa njia yako mbele yako.
11 Ta intess tumu gays maccashappe yelettida asappe xamaqiza Yanisa milatiza uray biita bolla dendibeyna. Gidikkokka Xoossa kawotethan asa wursoppe lafa uray Yanisappe aadhana.
Mimi nawaambia kweli, kati ya waliozaliwa na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkubwa kuliko yeye.
12 Xamaqiza Yaanisa wodeppe ha simmin ha7i gakanas salo kawotethi daro bagara sugetees. Izzo demanayti mino asata xala.
Toka siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, ufalme wa Mbinguni ni wa nguvu, na watu wenye nguvu, huuchukua kwa nguvu.
13 Nabetikka Musse wogaykka wuri Yaanisa wode gakkanaas buroppe hananaysa yotida.
Kwa kuwa manabii na sheria, ikamelcuwa wakitabiri mpaka kwa Yohana.
14 Histikko inte ekkana koykko izi yana getetida Elasay izakko.
Na kamamko tayari kukubali, huyu ni Eliya, yule ajaye.
15 Siyiza haythi diza uray siyo.
Aliye na masikio ya kusikia na asikie.
16 Haysa ha wode asa azan lemusso? Giyan uttidi ba lagista “Nu intess dith dixin inte duribeykkista yeho zilalith zilalin yekibeykista giza nayta milatetes.
Nikilinganishe na nini kizazi hiki? Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni, wanaokaa na kuitana
na kusema, 'Tuliwapigia zomari na hamkucheza. Tuliomboleza, na hamukulia.'
18 Yaanisay musafene ushafe naagetidi yida gish daydanthara dess gida.
Kwa kuwa Yohana alikuja bila kula mkate au kunywa mvinyo, na wakawa wanasema, 'Ana pepo.'
19 Ta asa nay mashene uyashe yiin haysi midi kalonta asa, ushanchane qaraxa shishizaytasine nagaranchatas lage gida. Gido attin Xoossa eratethi ba othon xiladus.
Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa na wakasema 'Angalia, ni mtu mlaji na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!' Lakini hekima inadhihirishwa kwa matendo yake.''
20 Hessappe guye Yesusay izi malatata othida katama asay marotethan gelonta agida gish “Kurazinene Betesayda intena aye inte bolla othetida malatay Xirosa bolane Sidona bolla othetidakko isti maqa maydinne bidinthan utidi beni beni marotethan geli gidanashin.
Yesu alianza kuikemea miji ambamo baadhi ya matendo yake ya ajabu yalitendeka, kwa sababu walikuwa hawajatubu,
Ole wako, Kolazini, Ole wako Bethsaida! Kama matendo makuu yangetendeka Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka hapa, wangekuwa wametubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
22 Hessa gish tani intes gizay firda galas inteppe adhidi Xiirosasine Sidonas qixaatey kawuyana.
Lakini itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidoni siku ya hukumu kuliko kwako.
23 Hanne Qifirnahome pudde salo dhoqu dhoqu ganas koyadi? Gido atin neni duge si7ole wodhandasa, ne bolla othetida malatay Sodomen othetidakko Soodomey hach gakanas daanakoshin. (Hadēs )
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs )
24 Hessa gish ta nena gizay pirda galas qixatey neppe Soddomas kawuyana. /s Kirstosay immiza shemppo
Bali nasema kwako kwamba itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoma kusimama siku ya hukumu kuliko wewe.
25 Hessa wode Yesusay hizgidi wosidess. “Salo bitta Godo, ta awo, hayssa daro eranchatappene cinccatappe qotada qeri naytas ne qoncisida gish ta nena galatays.
Katika muda huo Yesu alisema, “Nakusifu wewe, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa sababu uliwaficha mambo haya wenye hekima na ufahamu, na kuyafunua kwa wasio na elimu, kama watoto wadogo.
26 Aabo Ee haysi ne sinthan lo7o ne shene gididi betidess.
Baba kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako.
27 Wurikka ta aawappe tass imetidess, aawappe atin naza gish eriza uray bawa, qasse nazappene nazi ba shenen qoncisida urappe haray aawa eriza uray ba.
Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa Baba. Na hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba, na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana ana hamu ya kumfunulia.
28 inteno, tokkoy dexidaytine daburidayti wurikka taakko ha yitte, takka intess shemppo immana.
Njoni kwangu, nyinyi nyote mnaosumbuka na mnaolemewa na mzigo mzito, nami nitawapumzisha.
29 Ta qambara tokitte tappekka tamaritte tani ta wozinan aadane ashke inte shemppos inte shemppo demana.
Jitieni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo na mtapata pumziko la nafsi zenu.
30 Ta qambaray shaykone ta tohoy kawushe.
Kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.