< Ibirawe 1 >

1 Beni wodepe oykidi Xoossi dumma dumma ogera nabeta baggara kase nu Aawatas daro wode yootides.
Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,
2 Qasse hayssa wurisetha wode bolla wursi latisidane ha alameza midhida ba naaza baggara nuusu yootides. (aiōn g165)
lakini siku hizi za mwisho, amesema nasi kwa njia ya Mwanae. Yeye ndiye ambaye kwa njia yake Mungu aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu vyote. (aiōn g165)
3 Izika Xoossa boncho po7osine Xoossa xoossatethas lo7o lemuso gididi ba wolliqama qaalan wursika shiishi oykides. Izi asa nagarape geeshidape guye salon boncho Xoossa oshachan uttides.
Yeye ni mng'ao wa utukufu wa Mungu, na mfano kamili wa hali ya Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu kwa neno lake lenye nguvu. Baada ya kuwapatia binadamu msamaha wa dhambi zao, aliketi huko juu mbinguni, upande wa kulia wa Mungu Mkuu.
4 Hessa gishshi laattida sunthay kiitanchata sunthafe adhdhizayssa mala izika kiitanchatape keehi adhdhees.
Mwana ni mkuu zaidi kuliko malaika, kama vile jina alilopewa na Mungu ni kuu zaidi kuliko jina lao.
5 Xoossi kiitanchape “Neni ta nako, Ta nena hachchi yeladis.” Woyko qasseka Ta izas Aawa gidana; Izika ta ta gidana” Oonas gidee?
Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: “Wewe ni Mwanangu; Mimi leo nimekuwa Baba yako.” Wala hakusema juu ya malaika yeyote: “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu.”
6 Qasseka Xooss ba bayra naaza duge ha biitta yeddishe “Xoossa kiitanchati wurikka izas goyneto” gides.
Lakini Mungu alipokuwa anamtuma Mwanae mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, alisema: “Malaika wote wa Mungu wanapaswa kumwabudu.”
7 Kiitanchata gishshi hasa7ishe qasse “Kiitanchata ayanata; Be oothanchataka tama laco kesses” gees.
Lakini kuhusu malaika, Mungu alisema: “Mungu awafanya malaika wake kuwa pepo, na watumishi wake kuwa ndimi za moto.”
8 Nza gishshi qasse “Godo ne zupaney medhinape medhina gakanas minni deyana. Neni ne kawotetha like kaalethasa. (aiōn g165)
Lakini kumhusu Mwana, Mungu alisema: “Utawala wako ee Mungu, wadumu milele na milele! Wewe wawatawala watu wako kwa haki. (aiōn g165)
9 Neni xiillotehta dosadasa. Makal7aka ixxasa. Hessa gishshi Xoossi ne Goday nena ne lagistape bolla kessides. Nena ufayssa zayte tiyides.
Wewe wapenda uadilifu na kuchukia uovu. Ndiyo maana Mungu, Mungu wako amekuweka wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako.”
10 Qasse hizgees “Godo neni koyro biitta medhadasa. Salo tika ne kushen oothetida.
Pia alisema: “Bwana, wewe uliumba dunia hapo mwanzo, mbingu ni kazi ya mikono yako.
11 Istti dhayana, neni gidiko minna deyana. Istti wurikka mayo mala gal7ana.
Hizo zitatoweka, lakini wewe wabaki daima, zote zitachakaa kama vazi.
12 Neni istta mayo mala qalam77ana. Isttika mayo mala laamistana. Ne gidiko aydeka neni nena. Ne duusas wurisethi deena” gees.
Utazikunjakunja kama koti, nazo zitabadilishwa kama vazi. Lakini wewe ni yuleyule daima, na maisha yako hayatakoma.”
13 Xoossi kiitanchatape “Tani ne morketa ne too garisan nena yedhisana gakanas ne ta oshachan utta” Oona gidee?
Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: “Keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako.”
14 Kiitanchati wurikka atotetha laatana asatas oothanas Xoossafe kiitetiza oothancha ayana gidetenee?
Malaika ni roho tu wanaomtumikia Mungu, na Mungu huwatuma wawasaidie wale watakaopokea wokovu.

< Ibirawe 1 >