< Efesoone 1 >

1 Xoossa shene mala Yesus Kiristossa Haware gidida Phawulossape. Yesus Kirstosan diza amanetizaytas Efesonen amaniza asas.
Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu.
2 Nu aawa Xoossafe Goda Yesus Kiristossape kiyatethine sarotethi intes gido.
Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
3 Nu Goda Yesuss Kiristossa bagara sallon ayana anjjo wurison nuna anjjuda Goda Yesuss Kirisitossa aaway Xoossi anijjeto.
Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.
4 Nu iza sinthan geshatana wothoy bayndayta gidana mala buro alamey medhetanape kasse ba siqon Kirstosa bagara nuna dorides.
Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake,
5 Yesus Kiristossa bagara nu iza na gidana mala ba loo7o qofan koyro wursi wothides.
Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.
6 Hesika ba dosizade bagara coo mela nusu imetida boncho kiiyatethay galatistan malakko.
Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi!
7 Xoossa adho kiyatethan Yesuss sunthan nagarape nu maretidos.
Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake
8 Izi ba kiyatethane cincateth nu bolla kezi darsides.
aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote
9 Kiristossa bagara Xoossi nuus qopida xuura qofa Kirstosa bagara nuna erisides.
Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.
10 Burope wode wurisethan hanana diza iza qofay sallo bolane biita bolla dizaytas wurisos hu7e gidida Yesuss Kiristossape wursi garse oothanaskko.
Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.
11 Wurisikka ba shene mala oothiza iza shenemala nuka iza koyroka izi dorida gish nuni izan doretidosu.
Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo.
12 Nuni kasetidi Kiristossa bagara ekana gidi ufaysan nagizayti Xoossa boncho galatan qoncisansikko.
Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!
13 Inteka qase tuma qaala hesika intena ashiza mishiracho qaala siydi Kiristosan amanidista. Iza amanidi kase imistana getetida xiilo ayanan atametidista.
Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.
14 He ayanazikka iza boncho galatan qoncisana mala Xoossi bees gididayta worsota wozana gakanas nu latas ooythoko.
Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake!
15 Hesa gish inte Goda Yesussa amannida gishine amaniza asa inte siqizaysa ta siyosope ha simin intena qopa qopa ekada tani ta wosan inte gish Xoossas galata shisho agabeyke.
Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu,
sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu
17 Boncho aawa gidida nu Goda Yesuss Kiristossa awa Xoossi inte loo7ethi eranamala qonccisiza ayanayinne eratetha ayanay intes imistana mala ta intes paccey baynda wosays.
ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.
18 Hessathokka inte izan xeygetida ufaysay hessikka amanizayta achan diza iza latisiza duretethay azakone inte erana mala inte wozina ayfey po7ana mala wosays.
Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake,
19 Amaniza nunan oothiza wursofe bolla gidida gitta Xoossa wolqa inte erana mala ta wosays. He wolqaykka oonikka teqontayssanne mulekka daburontaysakko.
mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno
20 Kirstosa hayqoppe denthidi salon Xoossa ushachan utisiday he wolqakko.
aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
21 Aysizaytape godatethape woliqafene kawotethappe qaseka ha7i xala gidonta burope yana wodeka gidin sunthu wurisofe izi bollakko. (aiōn g165)
Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao. (aiōn g165)
22 Xoossi hara wursi iza tope garissan harisides. Wossa keeththanka wuriso bolla hu7e histides.
Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote.
23 Wossa keethiya kirstossa asatethikko. Kirstosaykka wossa keethaynine awanka wuriso miishi kunthes.
Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.

< Efesoone 1 >