< Psaumes 87 >
1 Aux fils de Coré psaume de cantique.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 Le Seigneur aime les portes
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Des choses glorieuses ont été dites de toi, cité de Dieu.
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 Je me souviendrai de Rahab et de Babylone qui me connaissent. Voilà que des étrangers et Tyr, et un peuple d’Éthiopiens ont été là.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Est-ce qu’on ne dira pas de Sion: Un homme et un homme est né dans elle, et lui-même, le Très-Haut, l’a fondée?
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Le Seigneur le racontera dans les écritures des peuples et des princes, de ceux qui furent dans elle.
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Ceux qui habitent en toi ont la joie de tous ceux qui se livrent à l’allégresse.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”