< Psaumes 78 >
Utenzi wa Asafu. Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
2 J’ouvrirai ma bouche en paraboles: je dirai des choses cachées dès le commencement;
Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo, nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:
3 Combien de grandes choses nous avons entendu et connues, et que nos pères nous ont racontées.
yale ambayo tuliyasikia na kuyajua, yale ambayo baba zetu walituambia.
4 Elles n’ont pas été cachées à leurs fils dans une autre génération. Ils ont raconté les louanges du Seigneur, ses œuvres puissantes, et ses merveilles qu’il a faites;
Hatutayaficha kwa watoto wao; tutakiambia kizazi kijacho matendo yastahiliyo sifa ya Bwana, uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.
5 Et a suscité un témoignage dans Jacob; et a établi une loi dans Israël: Combien de grandes choses il a commandé à nos pères de faire connaître à leurs fils,
Aliagiza amri kwa Yakobo na akaweka sheria katika Israeli, ambazo aliwaamuru baba zetu wawafundishe watoto wao,
6 Afin qu’une autre génération les connaisse. Les fils qui naîtront et s’élèveront après eux les raconteront à leurs fils,
ili kizazi kijacho kizijue, pamoja na watoto ambao watazaliwa, nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.
7 Afin qu’ils mettent en Dieu leur espérance, qu’ils n’oublient pas ses œuvres, et qu’ils recherchent ses commandements.
Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao wasingesahau matendo yake, bali wangalizishika amri zake.
8 De peur qu’ils ne deviennent comme leurs pères une génération perverse et exaspérant Dieu; Une génération qui n’a point dirigé son cœur, et dont l’esprit ne s’est point confié en Dieu.
Ili wasifanane na baba zao, waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi, ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake, ambao roho zao hazikumwamini.
9 Les fils d’Ephraïm, habiles à tendre l’arc et à en tirer, ont tourné le dos au jour du combat.
Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.
10 Ils n’ont pas gardé l’alliance de Dieu, et ils n’ont pas voulu marcher dans sa loi.
Hawakulishika agano la Mungu na walikataa kuishi kwa sheria yake.
11 Ils ont oublié ses bienfaits et les merveilles qu’il leur a montrées.
Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonyesha.
12 Devant leurs pères il a fait des merveilles, dans la terre d’Égypte, dans la plaine de Tanis.
Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, huko Soani, katika nchi ya Misri.
13 Il divisa la mer, et il les fit passer: et il fixa les eaux comme dans une outre.
Aliigawanya bahari akawapitisha, alifanya maji yasimame imara kama ukuta.
14 Il les conduisit, le jour, au moyen d’une nuée, et toute la nuit à la clarté d’un feu.
Aliwaongoza kwa wingu mchana na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.
15 Il fendit une pierre dans le désert, et les fit boire comme à un abîme abondant.
Alipasua miamba jangwani na akawapa maji tele kama bahari,
16 Car il fit sortir de l’eau de la pierre, et il en fit sortir des eaux comme des fleuves.
alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka, akayafanya maji yatiririke kama mito.
17 Mais ils péchèrent encore de nouveau contre lui, ils excitèrent à la colère le Très-Haut dans un lieu sans eau.
Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake, wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.
18 Et ils tentèrent Dieu dans leurs cœurs, au point qu’ils demandèrent une nourriture pour leurs âmes.
Kwa makusudi walimjaribu Mungu, wakidai vyakula walivyovitamani.
19 Et ils parlèrent mal de Dieu, ils dirent: Est-ce que Dieu pourra préparer une table dans le désert?
Walinena dhidi ya Mungu, wakisema, “Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?
20 Parce qu’il a frappé une pierre, et que des eaux ont coulé; et que des torrents ont débordé. Est-ce qu’il pourra aussi donner du pain et préparer une table pour son peuple?
Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu, vijito vikatiririka maji mengi. Lakini je, aweza kutupa chakula pia? Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”
21 C’est pour cela que le Seigneur entendit et différa; mais un feu s’alluma contre Jacob, et sa colère monta contre Israël;
Bwana alipowasikia, alikasirika sana, moto wake ukawa dhidi ya Yakobo, na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,
22 Parce qu’ils ne crurent pas en Dieu, et qu’ils n’espérèrent pas en son salut;
kwa kuwa hawakumwamini Mungu, wala kuutumainia ukombozi wake.
23 Et il commanda aux nuées d’en haut, et il ouvrit les portes du ciel.
Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,
24 Et il leur fit pleuvoir de la manne pour manger, et il leur donna du pain du ciel.
akawanyeshea mana ili watu wale; aliwapa nafaka ya mbinguni.
25 L’homme mangea le pain des anges, Dieu leur envoya une nourriture en abondance.
Watu walikula mkate wa malaika, akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.
26 Il fit disparaître du ciel le vent du midi, et il amena par sa puissance le vent d’Afrique.
Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.
27 Il fit pleuvoir sur eux des viandes comme la poussière, et des oiseaux comme le sable de la mer.
Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, ndege warukao kama mchanga wa pwani.
28 Et ils tombèrent au milieu de leur camp, autour de leurs tabernacles.
Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao, kuzunguka mahema yao yote.
29 Ils mangèrent et ils furent rassasiés à l’excès, et Dieu leur accorda selon leur désir;
Walikula na kusaza, kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.
30 Ils ne furent point frustrés dans leur désir. Leurs viandes étaient encore dans leur bouche,
Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
31 Quand la colère de Dieu tomba sur eux. Et il tua les gras d’entre eux, et rejeta l’élite d’Israël.
hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.
32 Au milieu de tous ces prodiges ils péchèrent encore, et ne crurent pas à ses merveilles.
Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.
33 Et leurs jours se terminèrent vainement, et leurs années avec rapidité.
Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.
34 Lorsqu’il les tuait, ils le cherchaient, et ils revenaient, et, dès le point du jour, ils venaient à lui.
Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta, walimgeukia tena kwa shauku.
35 Et ils se souvinrent que Dieu était leur aide, et que le Dieu très haut était leur rédempteur.
Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao, kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.
36 Mais ils l’aimèrent de bouche seulement, et ils lui mentirent par leur langue;
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,
37 Car leur cœur n’était pas droit avec lui, et ils ne furent pas trouvés fidèles à son alliance.
mioyo yao haikuwa thabiti kwake, wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
38 Mais lui est miséricordieux, il pardonnera leurs péchés, et ne les perdra pas entièrement. Et souvent il détourna sa colère, et il n’alluma pas toute sa colère.
Hata hivyo alikuwa na huruma, alisamehe maovu yao na hakuwaangamiza. Mara kwa mara alizuia hasira yake, wala hakuchochea ghadhabu yake yote.
39 Il se rappela qu’ils étaient chair, un souffle qui va et qui ne revient pas.
Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu, upepo upitao ambao haurudi.
40 Combien de fois l’ont-ils irrité dans le désert, et l’ont-ils excité à la colère dans un lieu sans eau?
Mara ngapi walimwasi jangwani na kumhuzunisha nyikani!
41 Et de nouveau ils tentèrent Dieu, et ils ont aigri le saint d’Israël.
Walimjaribu Mungu mara kwa mara, wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
42 Ils ne se sont pas rappelé sa main, au jour où il les retira de la main d’un oppresseur,
Hawakukumbuka uwezo wake, siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,
43 Comment il fit en Égypte ses miracles, et ses prodiges dans la plaine de Tanis.
siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri, maajabu yake huko Soani.
44 Et il changea en sang leurs fleuves et leurs pluies, pour qu’ils ne bussent point.
Aligeuza mito yao kuwa damu, hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.
45 Il envoya contre eux une multitude de mouches qui les dévorèrent, et la grenouille qui les ravagea.
Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala, na vyura wakawaharibu.
46 Et il donna à la rouille leurs fruits, et leurs travaux à la sauterelle.
Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao, mazao yao kwa nzige.
47 Et il fit périr par la grêle leurs vignes, et leurs mûriers par la gelée.
Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
48 Et il livra à la grêle leurs bêtes, et leurs possessions au feu.
Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe, akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.
49 Il envoya contre eux la colère de son indignation: l’indignation, et la colère, et la tribulation envoyées par des anges mauvais.
Aliwafungulia hasira yake kali, ghadhabu yake, hasira na uadui, na kundi la malaika wa kuharibu.
50 Il fit une voie au sentier de sa colère, et il n’épargna pas la mort à leurs âmes; et leurs bêtes, il les renferma dans la mort.
Aliitengenezea njia hasira yake, hakuwaepusha na kifo, bali aliwaachia tauni.
51 Et il frappa tout premier-né d’Égypte, les prémices de tout travail dans les tabernacles de Cham.
Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri, matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.
52 Et il en retira, comme des brebis, son peuple; et il les conduisit comme un troupeau dans le désert.
Lakini aliwatoa watu wake kama kundi, akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.
53 Et il les fit sortir pleins d’espérance, et ils ne craignirent point; quant à leurs ennemis, la mer les couvrit.
Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa, bali bahari iliwameza adui zao.
54 Et il les amena sur la montagne de sa sanctification; montagne qu’a acquise sa droite. Et il chassa de leur face des nations; et il leur divisa au sort une terre avec un cordeau de partage.
Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu, hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.
55 Et il fit habiter dans leurs tabernacles les tribus d’Israël.
Aliyafukuza mataifa mbele yao, na kuwagawia nchi zao kama urithi, aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.
56 Mais ils tentèrent et aigrirent le Dieu très haut; et ne gardèrent pas ses témoignages.
Lakini wao walimjaribu Mungu, na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana, wala hawakuzishika sheria zake.
57 Et ils se détournèrent de lui et n’observèrent pas l’alliance; de la même manière que leurs pères, ils devinrent comme un arc qui porte à faux.
Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu, wakawa wasioweza kutegemewa kama upinde wenye kasoro.
58 Ils l’ont excité à la colère sur leurs collines; et par leurs images taillées au ciseau, ils l’ont provoqué à la jalousie.
Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu, wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.
59 Dieu entendit, et il méprisa, et il réduisit entièrement au néant Israël.
Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana, akamkataa Israeli kabisa.
60 Et il repoussa le tabernacle de Silo, son tabernacle où il avait habité parmi les hommes.
Akaiacha hema ya Shilo, hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.
61 Il livra à la captivité l’arche, leur force; et leur beauté entre les mains de l’ennemi.
Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani, utukufu wake mikononi mwa adui.
62 Il renferma son peuple entre les glaives; et son héritage, il le méprisa.
Aliachia watu wake wauawe kwa upanga, akaukasirikia sana urithi wake.
63 Un feu dévora leurs jeunes hommes; et leurs vierges ne furent pas pleurées.
Moto uliwaangamiza vijana wao, na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
64 Leurs prêtres tombèrent sous le glaive, et on ne pleurait pas leurs veuves.
makuhani wao waliuawa kwa upanga, wala wajane wao hawakuweza kulia.
65 Mais le Seigneur se réveilla comme un homme endormi, comme un héros qui a été ivre de vin.
Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini, kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.
66 Il frappa ses ennemis par derrière; il leur infligea un opprobre éternel.
Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.
67 Et il repoussa le tabernacle de Joseph, et ne choisit point la tribu d’Éphraïm;
Ndipo alipozikataa hema za Yosefu, hakulichagua kabila la Efraimu,
68 Mais il choisit la tribu de Juda, la montagne de Sion qu’il a aimée.
lakini alilichagua kabila la Yuda, Mlima Sayuni, ambao aliupenda.
69 Et il bâtit comme une corne de licornes son sanctuaire, dans la terre qu’il a fondée pour les siècles.
Alijenga patakatifu pake kama vilele, kama dunia ambayo aliimarisha milele.
70 Il choisit David son serviteur, et il le tira du milieu des troupeaux de brebis: il le prit à la suite de celles qui étaient pleines,
Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.
71 Pour être le pasteur de Jacob son serviteur, et d’Israël son héritage.
Kutoka kuchunga kondoo alimleta kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo, wa Israeli urithi wake.
72 Et David les fit paître dans l’innocence de son cœur, et avec ses mains habiles, il les conduisit.
Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo, kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.