< Psaumes 76 >
1 Pour la fin, dans les louanges, psaume d’Asaph à l’occasion des Assyriens. Dieu est connu dans la Judée, dans Israël son nom est grand.
Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
2 C’est dans la paix qu’a été fait son lieu: et son habitation dans Sion.
Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
3 Là il a brisé la puissance des arcs, le bouclier, le glaive et la guerre.
Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
4 Vous avez fait briller une lumière d’une manière admirable du haut des montagnes éternelles.
Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
5 Ils ont été troublés, tous les insensés de cœur.
Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6 À votre réprimande, Dieu de Jacob, se sont endormis ceux qui montaient les chevaux.
Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7 Vous, vous êtes terrible, et qui vous résistera, dès lors qu’ éclatera votre colère?
Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8 Du haut du ciel, vous avez fait entendre un jugement: la terre a tremblé et s’est tenue en silence,
Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
9 Lorsque Dieu s’est levé pour le jugement, afin de sauver tous les hommes doux de la terre.
wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
10 Aussi dans sa pensée, l’homme vous louera, et par suite de cette pensée, il célébrera un jour de fête en votre honneur.
Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
11 Faites des vœux au Seigneur votre Dieu, et accomplissez-les, vous tous qui, étant autour de lui, apportez des présents, à lui le terrible,
Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
12 Et à lui qui enlève le souffle vital des princes, qui est terrible aux rois de la terre.
Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.