< Psaumes 60 >
1 Pour ceux qui seront changés, pour une inscription de titre par David lui-même, pour la doctrine, Lorsqu’il brûla la Mésopotamie de Syrie et Sobal, et que Joab, étant revenu, frappa l’Idumée dans la vallée des Salines, par la défaite de douze mille hommes. Ô Dieu, vous nous avez rejetés, et vous nous avez détruits; vous avez été irrité; et ensuite vous avez eu pitié de nous.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
2 Vous avez ébranlé la terre, et vous l’avez bouleversée; réparez ses brisures, parce qu’elle a été ébranlée.
Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
3 Vous avez montré à votre peuple des châtiments rigoureux; vous nous avez fait boire du vin de componction.
Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
4 Vous avez donné à ceux qui vous craignent un signal, afin qu’ils fuient à la face de l’arc:
Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
5 Sauvez-moi par votre droite, et exaucez-moi.
Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
6 Dieu a parlé dans son sanctuaire: Je me réjouirai, et je partagerai Sichem, et je mesurerai la vallée des tabernacles.
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
7 À moi est Galaad, et à moi est Manassé, et Ephraïm est la force de ma tête.
Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
8 Moab est le vase de mon espérance. Jusque dans l’Idumée j’étendrai mes pas; des étrangers me sont devenus amis.
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
9 Qui me conduira dans une ville fortifiée? qui me conduira jusque dans l’Idumée?
Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
10 Ne sera-ce pas vous, ô Dieu, qui nous avez rejetés? et ne sortirez-vous point, ô Dieu, à la tête de nos armées?
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
11 Donnez-nous du secours, pour nous tirer de la tribulation, parce que vain est le salut de l’homme.
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
12 En Dieu nous ferons preuve de valeur; et lui-même réduira au néant ceux qui nous tourmentent.
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.