< Psaumes 49 >
1 Pour la fin, aux fils de Coré, psaume. Écoutez ces choses, vous toutes, nations: prêtez l’oreille, vous qui habitez l’univers;
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 Vous tous, fils de la terre, et fils des hommes, ensemble et de concert, riche et pauvre.
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Ma bouche parlera sagesse, et la méditation de mon cœur, prudence.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 J’inclinerai mon oreille à une parabole, et je révélerai sur le psaltérion mon sujet.
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 Pourquoi craindrai-je au jour mauvais? Je craindrai si l’iniquité de ma voie m’environne.
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 Qu’ils craignent ceux qui se confient dans leur puissance, et se glorifient dans l’abondance de leurs richesses.
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 Un frère ne rachète pas son frère: un homme étranger le rachètera-t-il? il ne donnera pas à Dieu de quoi l’apaiser pour lui-même,
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 Ni le prix du rachat de son âme: et il travaillera éternellement.
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 Et il vivra encore jusqu’à la fin.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Il ne verra pas la mort, lorsqu’il aura vu les sages mourir: l’insensé et le fou périront également. Et ils laisseront à des étrangers leurs richesses.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 Et leurs sépulcres seront leurs maisons pour toujours. Et leurs tabernacles dans chaque génération; quoiqu’ils aient donné leurs noms à leurs terres.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 Et l’homme, lorsqu’il était en honneur, ne l’a pas compris: il a été comparé aux animaux sans raison, et il est devenu semblable à eux.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 Cette voie qu’ils suivent est une pierre d’achoppement pour eux-mêmes, et néanmoins dans la suite ils se complairont dans leurs discours.
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 Comme des brebis, ils ont été parqués dans l’enfer: c’est la mort qui les paîtra. (Sheol )
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
15 Mais cependant Dieu rachètera mon âme de la main de l’enfer, quand il m’aura pris sous sa protection. (Sheol )
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
16 Ne craignez pas lorsqu’un homme sera devenu riche, et que la gloire de sa maison se sera accrue.
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 Parce que, lorsqu’il sera mort, il n’emportera pas tous ses biens; et que sa gloire ne descendra pas avec lui.
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 Car son âme, pendant sa vie, sera bénie: il vous louera, lorsque vous lui aurez fait du bien.
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 Il ira rejoindre les générations de ses pères, et durant l’éternité, il ne verra pas la lumière.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 L’homme, lorsqu’il était en honneur, ne l’a pas compris: il a été comparé aux animaux sans raison, et il est devenu semblable à eux.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.