< Psaumes 4 >
1 Pour la fin, dans les cantiques, psaume de David. Lorsque je l’invoquais, il m’a exaucé, le Dieu de ma justice; dans la tribulation, vous m’avez mis au large. Ayez pitié de moi, et exaucez ma prière.
Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
2 Fils des hommes, jusqu’à quand aurez-vous le cœur appesanti? pourquoi aimez-vous la vanité, et cherchez-vous le mensonge?
Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
3 Sachez donc que le Seigneur a glorifié son saint: le Seigneur m’exaucera, lorsque je crierai vers lui.
Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
4 Irritez-vous et ne péchez pas; et ce que vous dites en vos cœurs, repassez-le sur vos lits avec componction.
Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
5 Offrez un sacrifice de justice, et espérez dans le Seigneur. Beaucoup disent: Qui nous montrera les biens qu’on nous promet?
Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
6 La lumière de votre visage a été marquée sur nous, Seigneur; vous avez donné la joie à mon cœur.
Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
7 Ils ont eu en abondance le fruit de leur froment, de leur vin et de leur huile.
Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
8 Dans la paix je m’endormirai et je reposerai tout à la fois, Parce que vous, Seigneur, vous seul m’avez établi dans l’espérance.
Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.