< Psaumes 29 >

1 Pour la consommation du tabernacle.
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Apportez au Seigneur gloire et honneur, apportez au Seigneur de la gloire pour son nom: adorez le Seigneur dans son saint parvis.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 La voix du Seigneur a retenti sur les eaux, le Dieu de majesté a tonné; le Seigneur s’est fait entendre sur des eaux abondantes.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 La voix du Seigneur est pleine de force: la voix du Seigneur est pleine de magnificence.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 La voix du Seigneur brise des cèdres; et le Seigneur brisera les cèdres du Liban,
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Et les mettra en pièces comme il y mettrait un jeune taureau du Liban: et le bien-aimé sera comme un petit de licorne.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 La voix du Seigneur fend une flamme de feu;
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 La voix du Seigneur ébranle le désert; et le Seigneur agitera le désert de Cadès.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 La voix du Seigneur prépare des cerfs; et elle découvrira des lieux sombres et épais: et, dans son temple, tous diront: Gloire!
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 Le Seigneur fait habiter le déluge sur la terre; et le Seigneur roi siégera éternellement.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 Le Seigneur donnera de la force à son peuple: le Seigneur bénira son peuple en paix.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.

< Psaumes 29 >