< Psaumes 19 >
1 Pour la fin, psaume de David. Les cieux racontent la gloire de Dieu, et le firmament annonce les œuvres de ses mains.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
2 Le jour en fait le récit au jour, et la nuit en donne connaissance à la nuit.
Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
3 Ce ne sont point des paroles, ni des discours, dont on n’entende point les voix.
Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
4 Leur bruit s’est répandu dans toute la terre, et leurs paroles jusques aux confins du globe de la terre.
Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
5 Il a placé sa tente dans le soleil; et cet astre, comme un époux qui sort de son lit nuptial, S’est élancé comme un géant pour parcourir sa carrière:
linafanana na bwana arusi akitoka chumbani mwake, kama shujaa afurahiavyo kukamilisha kushindana kwake.
6 À l’extrémité du ciel est sa sortie;
Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake.
7 La loi du Seigneur est sans tache, elle convertit les âmes; le témoignage du Seigneur est fidèle; il donne la sagesse aux plus petits.
Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
8 Les justices du Seigneur sont droites, elles réjouissent les cœurs; le précepte du Seigneur est plein de lumière, il éclaire les yeux.
Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
9 La crainte du Seigneur est sainte, elle subsiste dans les siècles des siècles; les jugements du Seigneur sont vrais, ils se justifient par eux-mêmes.
Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
10 Ils sont désirables au-dessus de l’or et de nombreuses pierres de prix, et plus doux que le miel et un rayon de miel.
Ni za thamani kuliko dhahabu, kuliko dhahabu iliyo safi sana, ni tamu kuliko asali, kuliko asali kutoka kwenye sega.
11 Aussi votre serviteur les garde, et en les gardant, il trouve une grande récompense.
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
12 Qui comprend ses fautes? Purifiez-moi des miennes qui sont cachées en moi:
Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
13 Et préservez votre serviteur de la corruption des étrangers. S’ils ne me dominent point, je serai alors sans tache, et purifié d’un très grand péché.
Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
14 Alors les paroles de ma bouche pourront vous plaire aussi bien que la méditation de mon cœur que je ferai toujours en votre présence.
Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu na Mkombozi wangu.