< Psaumes 143 >

1 Psaume de David, quand Absalom son fils le poursuivait.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie.
2 Et n’entrez pas en jugement avec votre serviteur; car, en votre présence, nul homme vivant ne sera justifié.
Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.
3 Parce que l’ennemi a poursuivi mon âme; il a humilié jusqu’à terre ma vie;
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
4 Et mon esprit a été dans l’anxiété sur mon sort; au dedans de moi mon cœur s’est troublé.
Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.
5 Je me suis souvenu des jours anciens, j’ai médité sur toutes vos œuvres, sur les ouvrages de vos mains je méditais.
Nakumbuka siku za zamani; natafakari juu ya kazi zako zote, naangalia juu ya kazi ambazo mikono yako imezifanya.
6 J’ai étendu mes mains vers vous: mon âme est pour vous comme une terre sans eau;
Nanyoosha mikono yangu kwako, nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.
7 Exaucez-moi promptement, Seigneur, mon esprit a défailli. Ne détournez pas votre face de moi, autrement je serai semblable à ceux qui descendent dans la fosse.
Ee Bwana, unijibu haraka, roho yangu inazimia. Usinifiche uso wako, ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.
8 Faites-moi entendre dès le matin la voix de votre miséricorde, parce que c’est en vous que j’ai espéré.
Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma, kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako. Nionyeshe njia nitakayoiendea, kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.
9 Arrachez-moi à mes ennemis. Seigneur, c’est vers vous que je me suis réfugié;
Ee Bwana, uniokoe na adui zangu, kwa kuwa nimejificha kwako.
10 Enseignez-moi à faire votre volonté, parce que mon Dieu, c’est vous.
Nifundishe kufanya mapenzi yako, kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu, Roho wako mwema na aniongoze katika nchi tambarare.
11 À cause de votre nom. Seigneur, vous me rendrez la vie dans votre équité.
Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu, kwa haki yako nitoe katika taabu.
12 Et dans votre miséricorde vous perdrez entièrement mes ennemis.
Kwa upendo wako usiokoma, nyamazisha adui zangu; waangamize watesi wangu wote, kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.

< Psaumes 143 >