< Psaumes 137 >

1 Sur les fleuves de Babylone, là nous nous sommes assis, et nous avons pleuré, comme nous nous souvenions de Sion.
Kando ya mito ya Babeli tuliketi na tulilia tulipokumbuka kuhusu Sayuni.
2 Aux saules, au milieu d’elle, nous avons suspendu nos instruments.
Tulitundika vinubi vyetu kwenye miti ya Babylon.
3 Parce que là ceux qui nous avaient emmenés captifs, nous demandèrent les paroles de nos chants;
Huko watekaji wetu walitaka tuwaimbie, na wale walio tudhihaki walitutaka sisi tufurahi, wakisema, “Tuimbieni moja ya nyimbo za Sayuni.”
4 Comment chanterons-nous un cantique du Seigneur dans une terre étrangère?
Tungewezaje kuimba wimbo unaomuhusu Yahwe katika nchi ya ugeni?
5 Si je t’oublie, Jérusalem, que ma main droite soit livrée à l’oubli.
Kama nikikusahau wewe, Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
6 Que ma langue s’attache à mon gosier, si je ne me souviens pas de toi,
Ulimi wangu na ushikamane juu ya kinywa changu kama nisipokufikiria tena, na kama sipendelei zaidi Yerusalemu kuliko furaha yangu kuu.
7 Souvenez-vous, Seigneur, des fils d’Edom au jour de Jérusalem,
Kumbuka, Ee Yahwe, kile walichofanya Waedomu siku ya anguko la Yerusalemu. Walisema, “Ibomoeni, ibomoeni mpaka chini kwenye misingi yake.”
8 Fille malheureuse de Babylone, bienheureux celui qui te rendra la rétribution de ce que tu nous a fait!
Binti za Babeli, hivi karibuni wataharibiwa- mtu na abalikiwe, yeyote atakaye walipizia yale mliotufanyia sisi.
9 Bienheureux celui qui saisira et brisera tes petits enfants contre la pierre!
Mtu na abarikiwe, yeyote achukuaye na kusambaratisha watoto wenu juu ya jiwe.

< Psaumes 137 >