< Psaumes 135 >
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 Qui demeurez dans la maison du Seigneur, dans les parvis de la maison de notre Dieu.
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Louez le Seigneur, parce que le Seigneur est bon: chantez son nom, parce que son nom est doux,
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 Parce que le Seigneur s’est choisi Jacob et Israël pour sa possession.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 Car moi j’ai connu que le Seigneur est grand, et que notre Dieu est au-dessus de tous les dieux.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 Tout ce qu’il a voulu, le Seigneur l’a fait dans le ciel, sur la terre, dans la mer et dans tous les abîmes.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 Amenant des nuages de l’ extrémité de la terre, il a changé des éclairs en pluie.
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 C’est lui qui a frappé les premiers-nés d’Égypte, depuis l’homme jusqu’à la bête.
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 Et il a envoyé des signes et des prodiges au milieu de toi, ô Égypte, contre Pharaon et contre tous ses serviteurs.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 C’est lui qui a frappé des nations nombreuses, et a tué des rois puissants,
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Séhon, roi des Amorrhéens, et Og, roi de Basan, et tous les royaumes de Chanaan.
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 Et il a donné leur terre en héritage, en héritage à Israël son peuple.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Seigneur, votre nom subsistera éternellement, et votre souvenir dans toutes les générations.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 Parce que le Seigneur jugera son peuple, et il sera imploré par ses serviteurs.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 Les simulacres des nations sont de l’argent et de l’or; des ouvrages de main d’hommes.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 Ils ont une bouche, et ils ne parleront pas; ils ont des yeux, et ne verront pas.
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 Ils ont des oreilles, et ils n’entendront pas, car il n’y a pas de souffle dans leur bouche.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Qu’ils leur deviennent semblables, ceux qui les font, et tous ceux qui se confient en elles.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 Maison d’Israël, bénissez le Seigneur; maison d’Aaron, bénissez le Seigneur.
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 Maison de Lévi, bénissez le Seigneur; vous qui craignez le Seigneur, bénissez le Seigneur.
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Béni soit le Seigneur du haut de Sion, lui qui habite dans Jérusalem.
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.