< Psaumes 135 >

1 Alléluia.
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 Qui demeurez dans la maison du Seigneur, dans les parvis de la maison de notre Dieu.
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Louez le Seigneur, parce que le Seigneur est bon: chantez son nom, parce que son nom est doux,
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Parce que le Seigneur s’est choisi Jacob et Israël pour sa possession.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Car moi j’ai connu que le Seigneur est grand, et que notre Dieu est au-dessus de tous les dieux.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Tout ce qu’il a voulu, le Seigneur l’a fait dans le ciel, sur la terre, dans la mer et dans tous les abîmes.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Amenant des nuages de l’ extrémité de la terre, il a changé des éclairs en pluie.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 C’est lui qui a frappé les premiers-nés d’Égypte, depuis l’homme jusqu’à la bête.
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Et il a envoyé des signes et des prodiges au milieu de toi, ô Égypte, contre Pharaon et contre tous ses serviteurs.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 C’est lui qui a frappé des nations nombreuses, et a tué des rois puissants,
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Séhon, roi des Amorrhéens, et Og, roi de Basan, et tous les royaumes de Chanaan.
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Et il a donné leur terre en héritage, en héritage à Israël son peuple.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Seigneur, votre nom subsistera éternellement, et votre souvenir dans toutes les générations.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Parce que le Seigneur jugera son peuple, et il sera imploré par ses serviteurs.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Les simulacres des nations sont de l’argent et de l’or; des ouvrages de main d’hommes.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Ils ont une bouche, et ils ne parleront pas; ils ont des yeux, et ne verront pas.
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 Ils ont des oreilles, et ils n’entendront pas, car il n’y a pas de souffle dans leur bouche.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Qu’ils leur deviennent semblables, ceux qui les font, et tous ceux qui se confient en elles.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Maison d’Israël, bénissez le Seigneur; maison d’Aaron, bénissez le Seigneur.
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Maison de Lévi, bénissez le Seigneur; vous qui craignez le Seigneur, bénissez le Seigneur.
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Béni soit le Seigneur du haut de Sion, lui qui habite dans Jérusalem.
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Psaumes 135 >