< Psaumes 128 >
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2 Parce que tu mangeras le fruit de tes travaux, tu es bien heureux, et bien te sera encore.
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3 Ta femme sera comme une vigne féconde dans l’intérieur de ta maison: Tes enfants, comme de jeunes plants d’oliviers, autour de ta table.
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4 Ainsi sera béni l’homme qui craint le Seigneur.
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
5 Que le Seigneur te bénisse de Sion, et que tu voies les biens de Jérusalem, tous les jours de ta vie.
Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
6 Et que tu voies les fils de tes fils, la paix sur Israël.
nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.