< Psaumes 111 >

1 Je vous louerai, Seigneur, en tout mon cœur; en conseil des justes et en assemblée.
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2 Grandes sont les œuvres du Seigneur; parfaitement conformes à toutes ses volontés.
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3 Louange et magnificence est son ouvrage, et sa justice demeure dans les siècles des siècles.
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4 Il a consacré la mémoire de ses merveilles, le Seigneur miséricordieux et compatissant;
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
5 Il a donné une nourriture à ceux qui le craignent. Il se souviendra à jamais de son alliance,
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
6 Il annoncera la puissance de ses œuvres à son peuple,
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
7 Afin de leur donner l’héritage des nations: les œuvres de ses mains sont vérité et justice.
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
8 Tous ses commandements sont fidèles, confirmés dans les siècles des siècles, faits selon la vérité et l’équité.
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9 Il a envoyé la rédemption à son peuple: il a établi pour l’éternité son alliance. Saint et terrible est son nom;
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10 Le commencement de la sagesse est la crainte du Seigneur. La bonne intelligence est à tous ceux qui agissent conformément à cette crainte. Sa louange demeure dans les siècles des siècles.
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.

< Psaumes 111 >