< Psaumes 110 >

1 Psaume de David.
Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
2 Le Seigneur fera sortir de Sion la verge de votre puissance; dominez au milieu de vos ennemis.
Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
3 Avec vous est le principe au jour de votre puissance, dans les splendeurs des saints: c’est de mon sein qu’avant que lucifer existât je vous ai engendré.
Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
4 Le Seigneur a juré et il ne s’en repentira point: Vous êtes prêtre pour l’éternité, selon l’ordre de Melchisédech.
Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
5 Le Seigneur est à votre droite: il a brisé des rois au jour de sa colère.
Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
6 Il exercera ses jugements parmi les nations, qu’il remplira de ruines, il écrasera sur la terre les têtes d’un grand nombre.
Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
7 Il boira du torrent dans le chemin: c’est pour cela qu’il lèvera la tête.
Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.

< Psaumes 110 >